Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nenda baba uko porini mjini tuachiee ssYaani Rafiki kipenz hutaki kuniona mtandaoni..... Mi shemeji yako..... Umechukua dadaangu Unajua.
Nenda baba uko porini mjini tuachiee ssYaani Rafiki kipenz hutaki kuniona mtandaoni..... Mi shemeji yako..... Umechukua dadaangu Unajua.
Kweli mnasindikizana mpaka nyumba ya wageniNamsindikizaga
Kwa nini usiniambie nivae shanga ukaona magololi ndio size yangu ili baba d azidi kutokomea kigamboni siendiiiii

Kuna mtu niko nae hapa;
Namuuliza raha ya shanga nini.
Anasema raha ya shanga mzikate wakati wa Bed-kwaito afu muanze kuziokota moja moja wewe na mpenzi wako
Sasa hiyo raha ama karaha![]()
Kwakoo tuu
Leo hiii Baba DNenda baba uko porini mjini tuachiee ss

Ubunifuuduh, yaani najitahidi kuwa upande wako hadi najiharibia ona sasa! hivi kweli goli utazishikisha vipi zikae mahala pale?
...huyo aliyekujibu hivyo ni fundi mtaalamu kabisa, fuata ushauri wake. Kuna tule tudogotudogo kuokota hadi apige magoti. Yaani wewe unabaki kuwa mhamasikaji tu kuhamasisha ni juu yake😀😀

Binamu kayakorogaa
Sawa sawa binamu...ni lazima aunt ajue kuwa hakuna mwingine isipokuwa yeye tu. yaani yuko mmoja ila sio peke yake, singo but not alone
Halafu mimi sio mpinzani wako.... Mimi ni shemeji yako... Mimi ninachokuomba usimtese tu dadaangu.Nenda baba uko porini mjini tuachiee ss
Mm sijakulaSawa Baba D endelea kukula
Naomba kama uko na mie Sitakiiii kusikia habari za ma_x wako... Umenielewa????Enzi hizooo!
Nilikuwaga na mdada wa kizigua bhana! Akaniambia nikimuacha ananinunulia zongo la buku...
Nilikiwa namuogopa balaaa!nikaona nitakufa kwa presha tuu
Siendi kigamboni mimi
Chumba sio nyumbaKweli mnasindikizana mpaka nyumba ya wageni
Muelezee...ni lazima aunt ajue kuwa hakuna mwingine isipokuwa yeye tu. yaani yuko mmoja ila sio peke yake, singo but not alone
Sipendi uongoo ujueNimemtuma Gasper muda! Ama kazila njiani?![]()
Love you madame S, Mungu akubariki,nami nisamehe kwa lolote nilililokukosea ,nami sina ulilonikosea ..ubarikiweKwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.
Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe
U guys u were more than friends kwangu ni kama family
Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo
I love ya'all.