Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mdogo wake mama ashura shemu yetu haweziiMagololi avae mdogo wake mama ashura hivi binamu una nini lakini au unanichukuliaje lakini
Mdogo wake mama ashura shemu yetu haweziiMagololi avae mdogo wake mama ashura hivi binamu una nini lakini au unanichukuliaje lakini
Najiskia kutoka tu yaanUende wapi na mimba ilivo changa
Nimekumbukaa binamu
Vipii mbona apa napokea beep ya yule wa tandika uliyosave sudan ...kuna nn leo
Alafu binamu uuwe unachagua bhas wa kuwapa namba make huu mchezo wa kubadilishana namba mm unanioneagaa
Anza wewe binamu hukawii kunibadilikia nianze kukupeleka halaf mwisho ukatae kunipeleka kwa mama ashura....nipeleke jamani, sio mimi niliyeandika. Mimi sikuandika kabisa sijui mambo gani, nimeyasoma tu.
Binamu huko kwingine mvumilivu Shunie tu me nakukwida ujue
mke mwee hurumia mbavu zangu
Kwahiyo mie ndio wa kuvaa magololiMdogo wake mama ashura shemu yetu hawezii
Mwambie ukweli....nipeleke jamani, sio mimi niliyeandika. Mimi sikuandika kabisa sijui mambo gani, nimeyasoma tu.
Nn wifee
Mbona sakayo kaniweze mimi ?Nafanyaje sasa T mwanaume hafugiki ujue
Kwenda wapi wewe mwanamke jamaniiNajiskia kutoka tu yaan
Mkuu unatuachaje na sikukuu hii?? DjObe
Nimempigiaa make nimekopa hapa kwenye mtandao ...anasema niende alafu mm nipo uku dampo kwa yuleeeee wetuu ....sijui nipige 2 in 1Akikudeep tena weka vibration hutosikia, msumbufu sana yule
....ha hahahaha! Yule nilimpa tu kama mambo yasingeenda vizuri pale nilipokuacha. Anakaa karibu na hospital wanapaita mwembe yanga sijui.
Mama ashura hamna kitu wee mpeleke anaweza kukupeleka kwa cheusi mangalaAnza wewe binamu hukawii kunibadilikia nianze kukupeleka halaf mwisho ukatae kunipeleka kwa mama ashura
ShemeBaba mchungaji

Exactly![]()
Life....
Umezijulia wapiiii we si hauzijui baba dNn wifee
Kitu mbaya sana hiyohahahah na kweli kuna mazongo ya kununua hela yako tu
Uchochezi huo Obe