Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Habari ya kuadimikaSheme![]()
Habari ya kuadimikaSheme![]()
Wewe baki mtoto anyonye bhanaKupata moja baridi moja moto
Una utani na bhinamu weweBasi lee anamla mama ashura..
Inawezekana etiBasi lee anamla mama ashura..
Ma-ras huwa hawana nouma wewe..Una utani na bhinamu wewe
Tafadhari kitumbua sio andazi usinichonganishe na binamu nakuomba
HahahhhNajua zile za mama ashur unazijua..
Nipe experience mkuu
Binamu ndio amefanyajeBinamu
Mama ashura yupiNajua zile za mama ashur unazijua..
Nipe experience mkuu
Hazinogi nataka kutoka we si haurudi jamaanMbona kwenye friji zimejaa
HahahhhNaona anavuka mipaka sasa![]()
![]()
![]()
Binamu obe ebu njo umsikilize T kakuficha huyo hakunaga habari hizo sijawahi kusikia hizoKuna mtu niko nae hapa;
Namuuliza raha ya shanga nini.
Anasema raha ya shanga mzikate wakati wa Bed-kwaito afu muanze kuziokota moja moja wewe na mpenzi wako
Sasa hiyo raha ama karaha![]()
Magololi avae mdogo wake mama ashura hivi binamu una nini lakini au unanichukuliaje lakini
Unaongeza watoto tu baba anguBhinamu atakuwa amwsema hayo ashakunywa uji wa mzazi ...ila usiulize nan kazaa
Ila weww ata ukipotelea uko porini ...Mbona nilikuwa sipo kwa siku kumi tu...... Nilikuwa 'porini' si unajua tena.
Nimeshamuachisha DWewe baki mtoto anyonye bhana
Wewee binamu anasikia mjueeInawezekana eti
Hongera sana Baba D wangu ujue we ni kidume cha mbeguUna utani na bhinamu wewe
Tafadhari kitumbua sio andazi usinichonganishe na binamu nakuomba
Mm ndo najishinda naeMa-ras huwa hawana nouma wewe..
Ushaona Obi anagombana na mtu hapa?