Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Mama D
Mama D
Kila mtu na tabia yake TMbona sakayo kaniweze mimi ?
Kupata moja baridi moja motoKwenda wapi wewe mwanamke jamanii
Aanze yeye tuMama ashura hamna kitu wee mpeleke anaweza kukupeleka kwa cheusi mangala
Sina maana hiyo lakini hiyo mimba y inanichukia hivoKwahiyo mie ndio wa kuvaa magololi
Eeeh!Wacha woga T.
Baba D hayo magololi unayavaaje jamaan ebu mengine mnipunguzie we na binamu yakoSina maana hiyo lakini hiyo mimba y inanichukia hivo
Mshenga wenu ushamgeika tena

Basi lee anamla mama ashura..Huko kwa binamu obe kwa mdogo wake mama ashura mvaa shanga 700
Najua zile za mama ashur unazijua..Daaaah ungejuaa
...ha hahahaha, bado mapema! bado muda kidogo nilianika betri juani zipate chaji

BinamuUmezijulia wapiiii we si hauzijui baba d
Mbona kwenye friji zimejaaKupata moja baridi moja moto
Kuna mtu niko nae hapa;Kwahiyo mie ndio wa kuvaa magololi




MdauSheme![]()
Bhinamu atakuwa amwsema hayo ashakunywa uji wa mzazi ...ila usiulize nan kazaaBaba D hayo magololi unayavaaje jamaan ebu mengine mnipunguzie we na binamu yako
Mbona nilikuwa sipo kwa siku kumi tu...... Nilikuwa 'porini' si unajua tena.Aisee, umerudi mdau😀, ni vizuri kukuona tena hapa. karibu, tushamaliza futari tunasubiri kukuche tupashe kiporo
Aah! Sawa SKila mtu na tabia yake T