Nakumbuka uliwahi kuniambia kuwa ulikuwa unaniogopa sana eti mkorofi.Hahaha
Ulikuwa ka mie sio, nilikuwa nikifungua uzi nahisi wananiona wanipe vijembee
Nakumbuka uliwahi kuniambia kuwa ulikuwa unaniogopa sana eti mkorofi.Hahaha
Ulikuwa ka mie sio, nilikuwa nikifungua uzi nahisi wananiona wanipe vijembee
Mngepewa vijembe mkalime siku nzima
.....
Lol my love enzi hizoooo umenikumbusha mbali sanaaMadame s tulianza kufahamiana kabla ya makapuku kabisa, tena urafiki wa kawaida humu JF
Upo?Hata wewe mbona umeng'oa mkuu?
HahhahGirl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?
Boy: sikukuu hii nitakulepeka
Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?
Boy: ntakupeleka KIBITI
Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe
Sasa hivi naona ni mchana kaka ndio nimeingia
Poa dadangu, happy to c u hereUpo?
Tumekumiss ujue cuzoo karudiBlessedhope, werrason, Bitoz, Mussolin5, Sakayo, Shunie, Transcend, Mondray, shululu, Tumosa, Tmuller, QUIGLEY, husna muba, Shedebe, Nyoka_mzee, Dingimtoto, toxic9, fakalava, Clkey, bullar na wengine wengi.
Nakutakieni Eid Mubarak
Shikamoo DadaMungu ni muaminifu
Habarini za asubuhi wana familia.... Naamini mmeamka salama.. Sio kwa kulala huko jamani...
Amkeni bhana
Njema za wewe? Long time hope uko poaPoa dadangu, happy to c u here
Hata story pia Baba DAsantee shululu kwa magazeti ...leo napiga pooooo UF ....mpaka kesho
Nimemkumbuka binamu tu usiku sijui aliniambia maneno gani eti nina haki ya kugongewa likePamoja sana, niliziona dalili saa 11, nikajua lile Pila Pila la mama D limekulewesha
Imekua hivi ilivo lee venye mwasema mapenzi mubasharraBaadae ikawajeee ??
Huyu mtu majuzi alilike sana post zangu huku kapuku nikajiuliza si aliaga jfCobrepots ndo MALCOM LUMUMBA na Siku hizi namuona Malcolm Lumumba(herufu ndogo) nahisi ni yeye pia
Hao wengine nao watakuwa wapo JF kama kawa ila kwa ID Zingine na tunachat nao bila kujua
Kuna wakongwe wengi hapa KF kwa ID fekelo
..........
Tupogolee na shunie.
Pole kaka jamaan kwahiyo haujapataga mwingine kama yeyeNiliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.
Japo kwa sasa tu marafiki ni watu wazuri sana
HahahhhMimi nitakaa karibu na Sakayo halafu nitampa lift kwenye guta langu hadi Mabibo Mabwawani
.....