Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa.... Ameondoka kabisa jf au? Nilikuwa namuelewa sana kuna siku tulikesha hadi asb tukiwa Mimi, Briz na Cobblepots halafu kesho yake Szczesny akanuna

Halafu sisi nao eti siku nyingine tulikuwa tunanuniana lol
Utakuta mi siongei na Kigli hahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani ila kiukweli natamani siku moja makapuku wote ambao wataweza basi tukutane somewhere DSM tugonge cheers..... Na kupiga stori maana huu uzi nao ni homa ya dengue ama nene......
Siku mingi sana aisee
 
Hahaha yaani wewe umewahi kunipitisha sana, kisa kipande nilichokuwa naigiza plus jina vilikuwa vinakutatiza.
Nilichojaaliwa sinaga kinyongo ilibidi nichukuliane nawe hivyo hivyo hadi ulipoanza kunielewa.
Ilikuwa ni muvi flan amazing, zile siku ziliweka rekodi ya aina yake mkuu
Nilichojifunza kwa BITOZ ni kusimamia anachokiamini hata kama watu wanakipinga
Tulikuwa tunaiita Isingo part 2 hahahaha
 
Hahaha nakumbuka vibuti enzi zetu, mara umemwagwa, mara mnarudiana, yaani ilikuwa fujo tu maadam uzi uende.
Sikilizia wakati wa kuweka rekodi sasa mfano 100k, yaani hakuna kulala kila mtu anarusha mkuki na tunasahau ku like.
Siku hazigndi na hazirudi lkn hutuachia kumbukumbu chungu na taamu pia.
Ile 100K ilitisha sana na post zilikuwa overloded
 
Ni kweli sisi kama binadamu kila mmoja ana mapungufu yake...kadri tulivyokaa pamoja ndo tulizidi kukomaa na mifarakano kupunguza
Siku hizi hata wazee wapo humu maana ujinga ujinga umepungua kwa kiasi kikubwa
. . ....
Hahahahaha ulivyotaja wazee umenikumbusha yule jamaa mwenye roho ngumu simkumbuki jina lakini yani alikuwa ananiudhi na maneno yake, na akija hapa nilikuwa simpi ushirikiano Ila hakomi
 
Mi hata sihangaiki. Huko naendaga kusoma yaliyojiri tu Ila akiweza atakuja hapa kama haiwezekani basi sio kesi
Nimekwambia tu sio kwamba nawafuatilia
Mimi huwa sijishughulishi sana na "wasiokuwepo" bora hata nikalishe mifugo yangu kuliko kumfuatilia mtu nisiyemjua
Ndiyo maana napenda kusisitiza hapa ni kama maisha ya shuleni/vyuoni ni wachache huanza pamoja na kuendelea urafiki baada ya kumaliza shule ila marafiki wapya kila siku huibuka makazini,kitaani n.k
Hivyo tufurahi na marafiki tulionao leo maana nao hatutokuwa nao kesho ila marafiki wa kweli wataendelea kuwepo
Maisha yenyewe mafupi
Life goes on
........
 
Niliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.
Japo kwa sasa tu marafiki ni watu wazuri sana
Hii nayo kali aisee
Halafu mi mwenyewe sahivi nataka nikitulia nitafute bebi mpya maana maisha haya ya upweke yamenichosha. Ila huyu bebi ni lazima awe na swaga na pia avatar yake iwe ya kuvutia kabisa...... Hahahahaha crazy Jimena
 
Nakuhakikishia kitu kimoja kuigiza tabia ni ngumu na ipo siku utajisahau labda utumie ID nyingi tofauti tofauti kama GENTA ambaye ana ID zaidi ya 5

Binafsi nishazijua baadhi ya tabia halisi za watu kwa kufuatilia post zao majukwaa mbalimbali
Mfano kuna jamaa mmoja humu Jf ni bingwa wa kutukana akiwa kwenye thread zingine ila hapa KF huigiza upole na mara mojamoja hujisahau

.......
 
Nakuhakikishia kitu kimoja kuigiza tabia ni ngumu na ipo siku utajisahau labda utumie ID nyingi tofauti tofauti kama GENTA ambaye ana ID zaidi ya 5

Binafsi nishazijua baadhi ya tabia halisi za watu kwa kufuatilia post zao majukwaa mbalimbali
Mfano kuna jamaa mmoja humu Jf ni bingwa wa kutukana akiwa kwenye thread zingine ila hapa KF huigiza upole na mara mojamoja hujisahau

.......
Huyu jamaa nae anastahili kuheshimiwa popote pale alipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom