shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Siku mingi sana aiseeSasa.... Ameondoka kabisa jf au? Nilikuwa namuelewa sana kuna siku tulikesha hadi asb tukiwa Mimi, Briz na Cobblepots halafu kesho yake Szczesny akanuna![]()
![]()
![]()
Halafu sisi nao eti siku nyingine tulikuwa tunanuniana lol
Utakuta mi siongei na Kiglihahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani
![]()
![]()
ila kiukweli natamani siku moja makapuku wote ambao wataweza basi tukutane somewhere DSM tugonge cheers..... Na kupiga stori maana huu uzi nao ni homa ya dengue ama nene......
hahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani