Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimekwambia tu sio kwamba nawafuatilia
Mimi huwa sijishughulishi sana na "wasiokuwepo" bora hata nikalishe mifugo yangu kuliko kumfuatilia mtu nisiyemjua
Ndiyo maana napenda kusisitiza hapa ni kama maisha ya shuleni/vyuoni ni wachache huanza pamoja na kuendelea urafiki baada ya kumaliza shule ila marafiki wapya kila siku huibuka makazini,kitaani n.k
Hivyo tufurahi na marafiki tulionao leo maana nao hatutokuwa nao kesho ila marafiki wa kweli wataendelea kuwepo
Maisha yenyewe mafupi
Life goes on
........
Uko sahihi kabiaa.... Nilikuelewa hata hivyo sababu mi mwenyewe fomula yangu ni kama yako tu. Naishi sasa. Life is living.
 
Nakuhakikishia kitu kimoja kuigiza tabia ni ngumu na ipo siku utajisahau labda utumie ID nyingi tofauti tofauti kama GENTA ambaye ana ID zaidi ya 5

Binafsi nishazijua baadhi ya tabia halisi za watu kwa kufuatilia post zao majukwaa mbalimbali
Mfano kuna jamaa mmoja humu Jf ni bingwa wa kutukana akiwa kwenye thread zingine ila hapa KF huigiza upole na mara mojamoja hujisahau

.......
Hahahaa!

Hebu leo niambie Transcend ni mtu wa aina gani?
 
81884065b76e58948f0dbe31b167ec86.jpg
Asantee
 
"Sijakufuatilia" maana urafiki wetu haujafika nje ya JF na wala hatujawahi kuwasiliana hata PM tu
Namchunguza mtu tabia/menendo wake pale tu ninapokuwa na sababu milion za kufanya hivyo mfano ninapohitaji/anapohitaji urafiki uwe zaidi ya hapa

.......
Naona unakwepesha kwepesha!

Mtu tuko wote kapuku asubuhi na jioni .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom