Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapo sawa nilidhani kaondoka kabisa. Sasa watakuwa wameziunganisha
Hapana wengine "huharibu mambo" mfano mapenzi n.k hivyo hubadili ID au kuja na fekelo ili kukwepa wabaya wao
Wengine huwa tu "wamechokana" na pengine hataki kuonekana sehemu tu

Binafsi huwa naheshimu maamuzi binafsi ya mtu na sijawafuatilii watu....kama mtu haonekani hapa basi nikimkuta mwingine huwa nachangia mada na simuulizi chochote wala kumfuata PM
.....
 
Hapana wengine "huharibu mambo" mfano mapenzi n.k hivyo hubadili ID au kuja na fekelo ili kukwepa wabaya wao
Wengine huwa tu "wamechokana" na pengine hataki kuonekana sehemu tu
Binafsi huwa naheshimu maamuzi binafsi ya mtu na sijawafuatilii watu....kama mtu haonekani hapa basi nikimkuta mwingine huwa nachangia mada na simuulizi chochote wala kumfuata PM
.....
Mi pia huwa naona it's okay tu mtu akibadili id ila kwa kesi ya Cobblepots naona ID zote zitaunganiswa na kuwa moja sababu ndio utaratibu.
 
Cabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Mussoli5
Youngblood
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Mondray
Na wengine wengi
Humu ndani Jambilo ndo Alikuwa mgomvi wangu # 1 jamaa mwanzo nilikuwa simwelrwi kabisa ila baadaye tukaanza kuelewana


Tatizo ni watu kuishi kwa maigizo na kujifichaficha kama panya ila yupo/wapo baadhi wanafahamiana
Mimi kabla ya kuanza kuwa na urafiki na mtu huwa nausoma mwandiko wake kwa umakini kupitia post zake hapa na thread mbalimbali na hapo napata mwanga ni mtu wa aina gani....nikinusa harufu ya majangamajanga "nampotezea"
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom