Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Tule bata kidogo life is living au sio TranscendItakuwa pouwa sana..
Tule bata kidogo life is living au sio TranscendItakuwa pouwa sana..
Oooh narudi kum add Mussolin5Ila tukimeet tuwepo wote bila kujali huyu kaja lini sababu mwisho wa siku wote ni makapuku tu.
Halafu mwenyekiti wa weka picha umemsahau
Mzee wa leo katika historia orijino
Lee siku ya leo ameamka nazo kasema hadi keshoMdau sijaona vitu leo
Siku imekuwa mbaya bila kuamshwa na chakula cha ubongo
.....
Jimena my sister, hivi sizzyo7 kama sijakosea jina sijui naye kapotelewa wapiIla tukimeet tuwepo wote bila kujali huyu kaja lini sababu mwisho wa siku wote ni makapuku tu.
Halafu mwenyekiti wa weka picha umemsahau
Mzee wa leo katika historia orijino
Hapo sawaOooh narudi kum add Mussolin5
Bila kumsahau Shunie
Hapana wengine "huharibu mambo" mfano mapenzi n.k hivyo hubadili ID au kuja na fekelo ili kukwepa wabaya waoHapo sawa nilidhani kaondoka kabisa. Sasa watakuwa wameziunganisha
Tena huyu kaolea hapahapa Transcend+sakayoTule bata kidogo life is living au sio Transcend
Mi pia huwa naona it's okay tu mtu akibadili id ila kwa kesi ya Cobblepots naona ID zote zitaunganiswa na kuwa moja sababu ndio utaratibu.Hapana wengine "huharibu mambo" mfano mapenzi n.k hivyo hubadili ID au kuja na fekelo ili kukwepa wabaya wao
Wengine huwa tu "wamechokana" na pengine hataki kuonekana sehemu tu
Binafsi huwa naheshimu maamuzi binafsi ya mtu na sijawafuatilii watu....kama mtu haonekani hapa basi nikimkuta mwingine huwa nachangia mada na simuulizi chochote wala kumfuata PM
.....
Kitambo Sana aisee,Huyo ndio sijamuona kabisa... Halafu pia nimmemiss jamani
Ukitualika mwaliko upitie pm kupunguza kameraTule bata kidogo life is living au sio Transcend
Waje wote tuwape wosia kuhusu maisha ya ndoa hahahaTena huyu kaolea hapahapa Transcend+sakayo
Sana yani. Wapi wifi lakini??Kitambo Sana aisee,
Humu ndani Jambilo ndo Alikuwa mgomvi wangu # 1 jamaa mwanzo nilikuwa simwelrwi kabisa ila baadaye tukaanza kuelewanaCabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Mussoli5
Youngblood
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Mondray
Na wengine wengi
Of course tutayajenga nje ya wall hatuna haja na mamlukiUkitualika mwaliko upitie pm kupunguza kamera
Mambo fresh, uko poaMkuu sana, mambo vp
Wifi yako yupo, huwa anakuja mara moja mojaSana yani. Wapi wifi lakini??
Mpe salamu zangu nyingiWifi yako yupo, huwa anakuja mara moja moja
Duh nilikuwa na matongotongoLee siku ya leo ameamka nazo kasema hadi kesho