Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hahaha nakumbuka vibuti enzi zetu, mara umemwagwa, mara mnarudiana, yaani ilikuwa fujo tu maadam uzi uende.Waje wote tuwape wosia kuhusu maisha ya ndoa hahaha
Sikilizia wakati wa kuweka rekodi sasa mfano 100k, yaani hakuna kulala kila mtu anarusha mkuki na tunasahau ku like.
Siku hazigndi na hazirudi lkn hutuachia kumbukumbu chungu na taamu pia.