Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,633
Mnunulie sasa aachane na tekno wereva
Hii aliyoninunulia mara chaji haisomi mara viemoji vikapotea. Juzi vimerudi kile cha kike kina mimba na rahis kakataza wenye mimba kusoma
Mnunulie sasa aachane na tekno wereva
Wacha wee. 2 in 1Bar na kapuku
3Wacha wee. 2 in 1
Binamu unajua me na wewe ugomvi wetu tukienda sawa siongei kitu kwa mama mchuchu
Huyu ibra siku hz anazinguaMuda nliopita alikuwa bado cjui muda huu
Mbona anaiponda sasaSii hii nilimnunuliaa ...
Aaaa wapiiKumbe tunapeleka ureno hilo
Hii aliyoninunulia mara chaji haisomi mara viemoji vikapotea. Juzi vimerudi kile cha kike kina mimba na rahis kakataza wenye mimba kusoma
akubadilishie sasa pedeshee lee we si unampamba kila sikuOngea naye![]()
![]()
anashinda nn ili km VP na mm nijaribu
Mtafutie twisheniBHINAMU simu inamkosesha fursa
Asante shemela, nawe piaEid Mubarak kwa waislam wotemuwe na sikukuuu njema
![]()
Mbona unaziendeleza sasaMbona tulishaweka mambo sawa, yaani kuanzia leo, tuko sambamba kabisa, hutosikia E wala D (hizi ni mpya) napiga kimya
Asante shemelaAsante shemela, nawe pia
![]()
![]()
akubalishie sasa pedeshee lee we si unampamba kila siku
Aku kwani nafanya nn kibaya kuleUnaogopa kufumwa kwa IBRA?!
Sawa binamu jamaan aipeleke salama hukoooUnafikiri hata kumpamba napenda basi, ni mjomba wangu ndo sababu Tatizo akiniletea nyingine ataitaka hii aipeleke anapojua yeye, sema najua atakapoipeleka
Safari hizoMbona unaziendeleza sasa
Mbona unaziendeleza sasa