Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Binamu nina ujumbe wakoo??...tangu lini muhindi akafundishwa kula pilipili?
Binamu nina ujumbe wakoo??...tangu lini muhindi akafundishwa kula pilipili?
Sawa Baba DKuyakorogaa ayakorogee wewee akusumbuee wewee
Asante mama watoto wanguKaribu![]()
![]()
Acha tu kule ni kapuku kwa pili
Baki hivyo hivyo shemelaHajui kweli shemela
SawaAkukujibu nibeep kwenye Airtel yangu![]()
Sifungui tena! Sitaki kero za humu mkuuMh toka lini nilitaka nije pm kwako nikusalimie ukifungua utaniambia
Mpe kazii akufundishee mama ...anajuaa huyuu weee achaaaMe mzima Obe namshukuru Mungu asante kwa kunijali,kikongo ndio niko tuition ...najitahidi kweli nikielewe.
U make me smileMombe sorry jamani binamu yangu ....binamu ana wake zaidi ya mmoja unasema mshamba ??

Ntakuitia valeSisi wadau hatuwezi kugombana...
Tunajua shida ya porini![]()
Me mzima Obe namshukuru Mungu asante kwa kunijali,kikongo ndio niko tuition ...najitahidi kweli nikielewe.
Au mchina kula nyoka...tangu lini muhindi akafundishwa kula pilipili?
Unataka kumharibiaawoiiiiiii![]()
![]()
![]()
![]()
Na shemela wanguUnaongea na nan
Hapo ndio tunapotufautina sasa..Mh Baba mambo ya kufunga vitenge na makhanga yashapitwa na wakati ujue sasa hivi ni gauni ndefu na kamtandio au dera
Unavosemaa anakuloveee??Acha ukuda wewe jamaa..
Kwani umona namtaka?