shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Binamu huko tunaendaga kusoma story na tumosaWapi huko? Wageni wanaruhusiwa au hadi ushikwe mkono
Nyiee ni wapenzi wapendwa ni sisiAsante mpendwaaa
Mpe kazii akufundishee mama ...anajuaa huyuu weee achaaa
mama mchuchu si ana mukongo wakeMombe sorry jamani binamu yangu ....binamu ana wake zaidi ya mmoja unasema mshamba ??
niombee msamaha shemela,ila na yy amezidi eti hajui sehemu ya kutumia maua fursa ya mama mchuchu inampita,ujue mukongo hayupo cku nyingi
Nimeyaona mke mweeWe hujaona makinikia kwenye pilau![]()
![]()
![]()
Asante. Hayo maandishi mazito ndo nimeyasoma na kukomea hapo, yaliyofuata sijaweza kusoma sijui kwa nini?

Hapo ndio tunapotufautina sasa..
Dera mnakuja kututega tuu bure tunashindwa hata kumuaga marehemu

Binamu nina ujumbe wakoo??
MuiteNtakuitia vale
kama nakuona shemelaAu mchina kula nyoka
Haaaaahaaaa jamani mbavu zangu dah

NimemwambiaaaNakuangalia tu, huchelewi kunishut down
Asante. Hayo maandishi mazito ndo nimeyasoma na kukomea hapo, yaliyofuata sijaweza kusoma sijui kwa nini?

Huo ni ukwale wakoHapo ndio tunapotufautina sasa..
Dera mnakuja kututega tuu bure tunashindwa hata kumuaga marehemu