Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,138
Ukiwa huna kitu halafu unaishi ukweni. Unaweza kujikuta unamsaidia Mama Mkwe kukuna Nazi.
WeweweeeeeUnafikiri hata kumpamba napenda basi, ni mjomba wangu ndo sababu Tatizo akiniletea nyingine ataitaka hii aipeleke anapojua yeye, sema najua atakapoipeleka
Pole mkuu ndio maisha hayo jitahidi upigane ukapange kwako hata chumba kimojaUkiwa huna kitu halafu unaishi ukweni. Unaweza kujikuta unamsaidia Mama Mkwe kukuna Nazi.
Ni ukwale wangu?Huo ni ukwale wako
siajziendeleza, si umeonapale nimeandika napiga kimya! yeah, nimepiga kimya bubu kasingiziwa

KheeeeeNi ukwale wangu?
Sasa mama! Ila mkivaa hayo madera basi mpitishe khanga moja kiunoni na ingine mfunikie kichwa..
Tatizo ni hizo tabia za Shunie Bonge kuvaa Dera la Tumosa ambae ni mwembamba...
Badilike aisee
Asante aunt, sasa nitafungulia na bila hofu yoyote nitaandika kwa uhuru kabisaEid Mubarak kwa waislam wotemuwe na sikukuuu njema
![]()
Asante aunt, sasa nitafungulia na bila hofu yoyote nitaandika kwa uhuru kabisa
binamu weweeeNini tena?Kheeeee
Sasa shemela unafkili najivu vipiii
Hakuna kitu TNini tena?
Sawa binamu jamaan aipeleke salama hukooo
...ataipeleka pale masjid ili apate thawabu, inaitwa zak tul mal
ulipolala wewe binamu nimeamkia huko hukoNdio ufunge khanga sasaHakuna kitu T
![]()
![]()
![]()
![]()
binamu weweee
Sawa TNdio ufunge khanga sasa
really! Nilifunga, yaani kesho ni kula na kurudisha majeshi
na kina mama ashura wavaa shanga 700 kweli we muislam