Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,140
Ukiwa huna kitu halafu unaishi ukweni. Unaweza kujikuta unamsaidia Mama Mkwe kukuna Nazi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nishajizoelea mie shemelaSafari hizo
WeweweeeeeUnafikiri hata kumpamba napenda basi, ni mjomba wangu ndo sababu Tatizo akiniletea nyingine ataitaka hii aipeleke anapojua yeye, sema najua atakapoipeleka
[emoji40] [emoji40] [emoji40]Sawa binamu jamaan aipeleke salama hukooo
Pole mkuu ndio maisha hayo jitahidi upigane ukapange kwako hata chumba kimojaUkiwa huna kitu halafu unaishi ukweni. Unaweza kujikuta unamsaidia Mama Mkwe kukuna Nazi.
Ni ukwale wangu?Huo ni ukwale wako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]siajziendeleza, si umeonapale nimeandika napiga kimya! yeah, nimepiga kimya bubu kasingiziwa
KheeeeeNi ukwale wangu?
Sasa mama! Ila mkivaa hayo madera basi mpitishe khanga moja kiunoni na ingine mfunikie kichwa..
Tatizo ni hizo tabia za Shunie Bonge kuvaa Dera la Tumosa ambae ni mwembamba...
Badilike aisee
Asante aunt, sasa nitafungulia na bila hofu yoyote nitaandika kwa uhuru kabisaEid Mubarak kwa waislam wote [emoji120] muwe na sikukuuu njema![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu weweeeAsante aunt, sasa nitafungulia na bila hofu yoyote nitaandika kwa uhuru kabisa
Nini tena?Kheeeee
Sasa shemela unafkili najivu vipiii[emoji40] [emoji40] [emoji40]
Hakuna kitu TNini tena?
Sawa binamu jamaan aipeleke salama hukooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulipolala wewe binamu nimeamkia huko huko...ataipeleka pale masjid ili apate thawabu, inaitwa zak tul mal
Ndio ufunge khanga sasaHakuna kitu T
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu weweee
Sawa TNdio ufunge khanga sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na kina mama ashura wavaa shanga 700 kweli we muislamreally! Nilifunga, yaani kesho ni kula na kurudisha majeshi