Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Mnunulie sasa aachane na tekno werevaBHINAMU simu inamkosesha fursa
Mnunulie sasa aachane na tekno werevaBHINAMU simu inamkosesha fursa
![]()
mama mchuchu si ana mukongo wake
hahahh kweli shemela hazijuiWako ni wako tu hutakiwi kumuhukumu hadharani
Binamu unajua me na wewe ugomvi wetu tukienda sawa siongei kitu kwa mama mchuchu....ndiyo anaye, ila mukongo sio mwalimu, mimi nitamfunsisha kikongo kile cha deep kabisa.
Hivi mbona kila wakati unakuwa against na mimi tu, tumekoseana wapi tusuruhishane
Aisee....ndiyo anaye, ila mukongo sio mwalimu, mimi nitamfunsisha kikongo kile cha deep kabisa.
Hivi mbona kila wakati unakuwa against na mimi tu, tumekoseana wapi tusuruhishane

Ewaaaaaaaah apo wikiii anaelewaa kila kitu na akishindwa akazaliwee upya Congowewe ndo mjomba wangu bhana, akija nitamfundisha kile kikongo cha ndani kabisa pale, yaani zambe na bamoyo, butu na moyi, makoma, nitachanganya na kifranswaa kidogo merci
Unaogopa kufumwa kwa IBRA?!Ohooo wacpotuona c tutafatwa hko
NothingVipi husna mbona unaguna
Sawa mke mweeeBadae tutaenda
Sii hii nilimnunuliaa ...Mnunulie sasa aachane na tekno wereva
Namshangaa sanaa....ndiyo anaye, ila mukongo sio mwalimu, mimi nitamfunsisha kikongo kile cha deep kabisa.
Hivi mbona kila wakati unakuwa against na mimi tu, tumekoseana wapi tusuruhishane