Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,633
![]()
![]()
![]()
![]()
ulipolala wewe binamu nimeamkia huko huko
Ha hahahahahah, leo umenipata. Hutaniwi😀
![]()
![]()
![]()
![]()
ulipolala wewe binamu nimeamkia huko huko
![]()
![]()
na kina mama ashura wavaa shanga 700 kweli we muislam
...akifunga anazivua anabakiza chache za kunyoosha kiuno
ngapi zinabaki![]()
![]()
![]()
![]()
ngapi zinabaki
Hapo hamna la kusemaSasa shemela unafkili najivu vipiii
Ras ni ajee?siajziendeleza, si umeonapale nimeandika napiga kimya! yeah, nimepiga kimya bubu kasingiziwa



Husna tatizo ni nini? Au mnapiga party la kimya kimya na Obe?
...kwenye mfungo huwa sizihesabu, huwa ananiambia mwenyewe. kwa whatsapp
binamu kweli ulikuwa unafunga
Mie nawaitikia tu ukishaamua kuyavulia nguo maji hakuna namna inabidi uyaoge tuHapo hamna la kusema
Ras ni ajee?
Hivi haya mapenzi yako ba Husna mnachat Pma ama? Manake hapa naona kama vile hamjuani
Husna tatizo ni nini? Au mnapiga party la kimya kimya na Obe?
![]()
![]()
binamu kweli ulikuwa unafunga
Ndio muhimuAsante. Hayo maandishi mazito ndo nimeyasoma na kukomea hapo, yaliyofuata sijaweza kusoma sijui kwa nini?
Nilifunga, ndo maana hata yakiandikwa ya kunikera au kunitukana, napotezea nasubiri futru na daku
kwahiyo dude lishaamshwa tusubilie sasa kesho![]()
![]()
kwahiyo dude lishaamshwa tusubilie sasa kesho
Mie binamu wala kuwa na Amani zote vyote unavyoongea wala haunikasirishi kabisaa najua yote ni kutaniana na kufurahishana nakupenda sana binamu natamani hata siku moja tuonane hujui tu binamuHa hahhahaha, am too old for shits my dear aunt.
Huwa naamini kila mmoja anaweza kukasirika na kunikasirikia anavyotaka na ninapokuwa sioni kama nimesababisha mikasiriko hiyo., huwa sisumbuki.
Kukaa kimmya na kupuuza ni sifa kubwa ya kuwa mature na wala si uoga au ujinga. Ni kupuuza mpuuzi
ZABURI 20
MUNGU BABA WA MBINGUNI asante kwa siku ya leo,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno,matendo uturehemu twakusihi usiku huu tunajikabidhi mikononi mwako ituzingire,damu takatifu ya Yesu Kristo itufunike na inene mema,malaika walinzi wazunguke nyumba zetu na vitanda vyetu watulinde na kutuangalia usiku kucha watuepushe na mabaya yote,hila na uovu wa shetani,na BABA tunaomba utuamshe asubuhi salama.

Mie binamu wala kuwa na Amani zote vyote unavyoongea wala haunikasirishi kabisaa najua yote ni kutaniana na kufurahishana nakupenda sana binamu natamani hata siku moja tuonane hujui tu binamu