shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mmmh...sakayo lakini? Lini tena?Mie Situmii bhana...
Kwa nini unachepuka lakini
Hahaa![]()
wanisamehe bure mweee
Utaunguza chakula cha D kwa kufurahia
Kwani umewahi kutokea malalamiko?Wewe madenge tunakujua ni sileny killer![]()
![]()
![]()
EheeLol! Kumbe mimi chautundu eeh, wewe ni mpendwa wangu so nawe ni mtundu. Au naongopa
Ngoja ligi ianza harafu wapoteane
Bitoz & Qeen khan..Naona kuna couple kibao
Lee & Shummy
One & Husna
Baily & Madame
Shululu & Tumosa
Transcend & Sakayo
Ila Bitoz yupo na mifugo yake tu
![]()
![]()
![]()
.....
.......


Husna muba na mpendwa wakeNaona kuna couple kibao
Lee & Shummy
One & Husna
Baily & Madame
Shululu & Tumosa
Transcend & Sakayo
Ila Bitoz yupo na mifugo yake tu
![]()
![]()
![]()
.....
.......
Ngoja malikia arudiWewe madenge tunakujua ni sileny killer![]()
![]()
![]()
Jumapili: HKL
Ni Jumapili na inaishiria. Wote naamini mmekuwa na siku nzuri, wa kwenda kanisani, safi. Wenye Eid leo, hongera na ambao bado hatujauona mwezi, tuendelee, mufti kasema kesho mambo yanajipa, inshAllah.
Jumapili huhitaji makeke mengi, ni siku inayokuandaa na wiki nyingine ya kazi na michakato inayokupa maana ya kuishi. Unaikumbuka kazi ni Uhai? Hii ilikuwa ni moja ya 'motto' kama ilivyokuwa kilimo kwanza, siasa ni kilimo, elimu kwa wote na sasa hapa kazi tu.
Anaitwa Fally Ipupa, mwanamuziki muimbaji na mpiga gitaa kama ulikuwa hujui. keshafanya kazi ya kuimba na kupiga gitaa kwenye bendi ya Koffi Olomide- papa Mopao. Ana tuzo kibao za MTV na keshafanya wimbo na Olivia wa kundi la kina Big Poppa USA.
Sikupanga kukicheza leo kibao hiki nikiamini kimekaa kimikatiko, I was totally wrong, huu muziki wake kama ulivyodhaminiwa na Shunie umenifanya niingie chimbo kumsaka na kumwangalia zaidi. Maana nilizoea tu kile kibao chake cha Bakanja shika mu mbele🙂.
Hapa mwangalie katika clip hii ya YouTube akiimba kiulaini yaani hata umepanda bodaboda (siku hizi zina muziki wa subwufa- asante mchina) bila kuvaa helmet utaufurahia. Japo sijamwelewa hizo alizojifutika kiunoni ni shanga au nini, amua mwenyewe, usisumbuke kuhesabu yupo shululu atatoa tathmini (joke)
Asante mdhamini (ukumbuke tu kuniwekea dhamani kuleeeee) Shunie. Tuwe na wiki njema Makapuku wote, wafanyakazi kw wanafunzi. Yote tuliyopanga kwa wiki hii mpya angalau yafanikiwe.
Kabla sijasahau, nakukaibisha Eid hapo kesho: Eid Mubarak
HKL- Hii Kitu Laini ----(muziki laini leo)😵
Nahisi mikataba wake una sharti la Salah kupewa jezi # 11Ngoja ligi ianza harafu wapoteane
MnanisingiziaBitoz & Qeen khan..
Bishaaa![]()
Mkuu shimmy ni nani ujue shunie ana moyo umekaa upande
mtu na chakeImeleta utata nasikia hivyoNahisi mikataba wake una sharti la Salah kupewa jezi # 11
......
Hahaaa...!
Bashite mzima?
Jumapili: HKL
Ni Jumapili na inaishiria. Wote naamini mmekuwa na siku nzuri, wa kwenda kanisani, safi. Wenye Eid leo, hongera na ambao bado hatujauona mwezi, tuendelee, mufti kasema kesho mambo yanajipa, inshAllah.
Jumapili huhitaji makeke mengi, ni siku inayokuandaa na wiki nyingine ya kazi na michakato inayokupa maana ya kuishi. Unaikumbuka kazi ni Uhai? Hii ilikuwa ni moja ya 'motto' kama ilivyokuwa kilimo kwanza, siasa ni kilimo, elimu kwa wote na sasa hapa kazi tu.
Anaitwa Fally Ipupa, mwanamuziki muimbaji na mpiga gitaa kama ulikuwa hujui. keshafanya kazi ya kuimba na kupiga gitaa kwenye bendi ya Koffi Olomide- papa Mopao. Ana tuzo kibao za MTV na keshafanya wimbo na Olivia wa kundi la kina Big Poppa USA.
Sikupanga kukicheza leo kibao hiki nikiamini kimekaa kimikatiko, I was totally wrong, huu muziki wake kama ulivyodhaminiwa na Shunie umenifanya niingie chimbo kumsaka na kumwangalia zaidi. Maana nilizoea tu kile kibao chake cha Bakanja shika mu mbele🙂.
Hapa mwangalie katika clip hii ya YouTube akiimba kiulaini yaani hata umepanda bodaboda (siku hizi zina muziki wa subwufa- asante mchina) bila kuvaa helmet utaufurahia. Japo sijamwelewa hizo alizojifutika kiunoni ni shanga au nini, amua mwenyewe, usisumbuke kuhesabu yupo shululu atatoa tathmini (joke)
Asante mdhamini (ukumbuke tu kuniwekea dhamani kuleeeee) Shunie. Tuwe na wiki njema Makapuku wote, wafanyakazi kw wanafunzi. Yote tuliyopanga kwa wiki hii mpya angalau yafanikiwe.
Kabla sijasahau, nakukaibisha Eid hapo kesho: Eid Mubarak
HKL- Hii Kitu Laini ----(muziki laini leo)😵
Jumapili: HKL
Ni Jumapili na inaishiria. Wote naamini mmekuwa na siku nzuri, wa kwenda kanisani, safi. Wenye Eid leo, hongera na ambao bado hatujauona mwezi, tuendelee, mufti kasema kesho mambo yanajipa, inshAllah.
Jumapili huhitaji makeke mengi, ni siku inayokuandaa na wiki nyingine ya kazi na michakato inayokupa maana ya kuishi. Unaikumbuka kazi ni Uhai? Hii ilikuwa ni moja ya 'motto' kama ilivyokuwa kilimo kwanza, siasa ni kilimo, elimu kwa wote na sasa hapa kazi tu.
Anaitwa Fally Ipupa, mwanamuziki muimbaji na mpiga gitaa kama ulikuwa hujui. keshafanya kazi ya kuimba na kupiga gitaa kwenye bendi ya Koffi Olomide- papa Mopao. Ana tuzo kibao za MTV na keshafanya wimbo na Olivia wa kundi la kina Big Poppa USA.
Sikupanga kukicheza leo kibao hiki nikiamini kimekaa kimikatiko, I was totally wrong, huu muziki wake kama ulivyodhaminiwa na Shunie umenifanya niingie chimbo kumsaka na kumwangalia zaidi. Maana nilizoea tu kile kibao chake cha Bakanja shika mu mbele🙂.
Hapa mwangalie katika clip hii ya YouTube akiimba kiulaini yaani hata umepanda bodaboda (siku hizi zina muziki wa subwufa- asante mchina) bila kuvaa helmet utaufurahia. Japo sijamwelewa hizo alizojifutika kiunoni ni shanga au nini, amua mwenyewe, usisumbuke kuhesabu yupo shululu atatoa tathmini (joke)
Asante mdhamini (ukumbuke tu kuniwekea dhamani kuleeeee) Shunie. Tuwe na wiki njema Makapuku wote, wafanyakazi kw wanafunzi. Yote tuliyopanga kwa wiki hii mpya angalau yafanikiwe.
Kabla sijasahau, nakukaibisha Eid hapo kesho: Eid Mubarak
HKL- Hii Kitu Laini ----(muziki laini leo)😵

hii kituuu nomaaaaaa...