Makapuku Forum

Makapuku Forum

Well ni kweli usemacho,

Aamyn Mungu awabariki waliokuja na wqzo hili la kuanzisha hili jukwaa

Sometimes hua nakuaga offline na hua siachi kuzurura hapa

Naipenda segment ya historia

Kuhusu mpenzi hilo hata sina usemi Mungu atusimamie milele
Ni kweli ile ndo segment # 1 niligundua mapema ndiyo maana nikaanza kujazia nyama kuliko kuweka tu picha
Dikteta kuandika kitu anachokijua siyo kukopi pekee
Jamaa yupo vizuri
.......
 
Km sio gunia LA chawa basi akupe grasi ya makamasi


ARGqfjfhjhds covfefe

tumblr_md1sobG0aW1rgms8uo1_500.gif
 
Kaandika Bitoz na ninaongezea bila ruhusa (nimeacknowledge though)

Muhimu malengo yetu yametimia (na kutimia kwake hakutufanyi tukalewa sifa, Toyoda alipotengeneza gari aliendeleza ujuzi hadi leo tuna Toyota)

1/Wengi tumekuwa marafiki hapahapa pia hadi nje ya JF(wengine hadi wamekuwa wapenzi.....wengine kusaidiana hadi kwenye shida na raha) --- na bado tunaendelea kuwa karibu

2/Tunajifunza mengi humu kupitia post mbalimbali haswa segment hivyo tumeongeza maarifa(wapo pia wanaJf kibao tu wanaitegemea hii thread kupata mawili matatu hadi wazee wanaingia kufuatilia segment maana hawakutani na matusi wala ujingaujinga ), ujinga ujinga na name calling ni ngumu kuukwepa humu, Makapuku ni bahari Majahazi yapo na boat mwendo kasi zipo

Hayo ndo malengo yetu makuu na tunayatimiza
God bless Makapuku

6623154a7cc7a11e3290f6b1fdaae85b.gif
Fafanua name calling kuepusha mabalaa na kukwaza watu pia na wengine waelewe
.......
 
Fafanua name calling kuepusha mabalaa na kukwaza watu pia na wengine waelewe
.......


Name calling ni kutukanana matusi na lugha nyingine za kukera! Na hasa pale mnapokuwa hamtaniani.

Mfano, mimi hupenda kuandika mhamiaji haramu, kama nitamtaja memba wa hapa kama mhamiaji haramu ilhali inajulikana kabisa hatuna utani wa namna yoyote basi hii ni tusi au lugha ya kukera.

Napenda utanilakini si wa kukwazana na kama hatutaniani basi siwezi kufanya utani wa kukera hata sikumoja. Ikitokea nitaomba radhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom