shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Cc shunieYaani huyu nilipomwambia nakaa Mtwara basi yeye nanchingwea kuwa karibu na msumbiji basi akajiona mreno kabisa, ana yule kaka yake anajiita figo. haq hahahahahh
Imerudishwa kwa ushawishi mkubwa sana, niliahidi kumnunulia chachandu nyingine

