Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: JNS


Huwa wanasema siku hazilingani, yeah! Yaani ni kama vidole katika kiganja chako. U khali gani siku hii (siku, usisikie tumbo la kujamba nikiandika kuhusu siku, kila mmmoja ana siku yake, ni suala la muda tu). Naimani wikend hii ni njema sana kwako kama ilivyo kwangu.

Makapuku ni kama kokoro, kila siku ninaandika, na kokoro huja na vyote. Litakuletea vya kufurahisha siku yako na kuikarahisha. Yote kwa yote, furaha ya siku yako unaitengeneza mwenyewe, nimeamua kuitengeneza furaha yangu kwa kushare na wewe muziki bila kujali kama nakukwaza au nakwazuka. Ni maisha na tuko hapa kufurahia uwepo wa kila mmoja kwa raha na karaha. Nakufurahia amini hivyo.

Muziki sasa, Peter Andre, naimani unamkumbuka miaka ya 90. Alifanya izuri sana wakati huo muziki wa Dancehal unashika kasi, yaani uko juu na sijui mengi kuhusu yeye ila najua ni mwambaji zaidi ya mpiga vyombo vya muziki.

Burudika na wimbo wake mzuri ambao nimeutoa YouTube nikiamini kabisa utakuwa na wakati mzuri.

JNS- Jumamosi Ni Siku


 
Muhimu malengo yetu yametimia
1/Wengi tumekuwa marafiki hapahapa pia hadi nje ya JF(wengine hadi wamekuwa wapenzi.....wengine kusaidiana hadi kwenye shida na raha)
2/Tunajifunza mengi humu kupitia post mbalimbali haswa segment hivyo tumeongeza maarifa(wapo pia wanaJf kibao tu wanaitegemea hii thread kupata mawili matatu)

Hayo ndo malengo yetu makuu na tunayatimiza
God bless Makapuku
........
kabisa tukiacha utani wa hapa kiukweli kapuku kuna mambo mengi ya msingi kujifunza na kuelimishana na pamoja jinsi ya kuishi na watu

Kapuku wengine ndo faraja yetu ...ukiingia humu unajisahulisha mengiii

Mm rafiki ninaoo hapa ...
Mpenzii ninayeeee
Maarifa kila siku napata ...

Mungu anipe nini kama sio gunia la chawa
 
Muziki: JNS


Huwa wanasema siku hazilingani, yeah! Yaani ni kama vidole katika kiganja chako. U khali gani siku hii (siku, usisikie tumbo la kujamba nikiandika kuhusu siku, kila mmmoja ana siku yake, ni suala la muda tu). Naimani wikend hii ni njema sana kwako kama ilivyo kwangu.

Makapuku ni kama kokoro, kila siku ninaandika, na kokoro huja na vyote. Litakuletea vya kufurahisha siku yako na kuikarahisha. Yote kwa yote, furaha ya siku yako unaitengeneza mwenyewe, nimeamua kuitengeneza furaha yangu kwa kushare na wewe muziki bila kujali kama nakukwaza au nakwazuka. Ni maisha na tuko hapa kufurahia uwepo wa kila mmoja kwa raha na karaha. Nakufurahia amini hivyo.

Muziki sasa, Peter Andre, naimani unamkumbuka miaka ya 90. Alifanya izuri sana wakati huo muziki wa Dancehal unashika kasi, yaani uko juu na sijui mengi kuhusu yeye ila najua ni mwambaji zaidi ya mpiga vyombo vya muziki.

Burudika na wimbo wake mzuri ambao nimeutoa YouTube nikiamini kabisa utakuwa na wakati mzuri.

JNS- Jumamosi Ni Siku



Asante Binamu eti simu yako anayo nani
 
kabisa tukiacha utani wa hapa kiukweli kapuku kuna mambo mengi ya msingi kujifunza na kuelimishana na pamoja jinsi ya kuishi na watu

Kapuku wengine ndo faraja yetu ...ukiingia humu unajisahulisha mengiii

Mm rafiki ninaoo hapa ...
Mpenzii ninayeeee
Maarifa kila siku napata ...

Mungu anipe nini kama sio gunia la chawa
Baba D wasikupe gunila la chawa watakuwasha sana
 
Muziki: JNS


Huwa wanasema siku hazilingani, yeah! Yaani ni kama vidole katika kiganja chako. U khali gani siku hii (siku, usisikie tumbo la kujamba nikiandika kuhusu siku, kila mmmoja ana siku yake, ni suala la muda tu). Naimani wikend hii ni njema sana kwako kama ilivyo kwangu.

Makapuku ni kama kokoro, kila siku ninaandika, na kokoro huja na vyote. Litakuletea vya kufurahisha siku yako na kuikarahisha. Yote kwa yote, furaha ya siku yako unaitengeneza mwenyewe, nimeamua kuitengeneza furaha yangu kwa kushare na wewe muziki bila kujali kama nakukwaza au nakwazuka. Ni maisha na tuko hapa kufurahia uwepo wa kila mmoja kwa raha na karaha. Nakufurahia amini hivyo.

Muziki sasa, Peter Andre, naimani unamkumbuka miaka ya 90. Alifanya izuri sana wakati huo muziki wa Dancehal unashika kasi, yaani uko juu na sijui mengi kuhusu yeye ila najua ni mwambaji zaidi ya mpiga vyombo vya muziki.

Burudika na wimbo wake mzuri ambao nimeutoa YouTube nikiamini kabisa utakuwa na wakati mzuri.

JNS- Jumamosi Ni Siku



Asante binamu
 
kabisa tukiacha utani wa hapa kiukweli kapuku kuna mambo mengi ya msingi kujifunza na kuelimishana na pamoja jinsi ya kuishi na watu

Kapuku wengine ndo faraja yetu ...ukiingia humu unajisahulisha mengiii

Mm rafiki ninaoo hapa ...
Mpenzii ninayeeee
Maarifa kila siku napata ...

Mungu anipe nini kama sio gunia la chawa
Mimi sijawahi kuwa na mpenzi humu


......
 
Mkoba wangu
Mvua imenyesha leo ushasombwa na mafuriko ya kibarazani
312118de4b64be65e64a3461e513a6bb.jpg

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom