shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
AiseeAshafunga ndoa na livy
AiseeAshafunga ndoa na livy
Mzee wa kuhesabu vipiii ulivyosikia hapo unatamani uwe nazo
Hivi Lee Empire jina jingine ni Baba D?Baba D me sipendi ujue
Mzee wa kuhesabu vipiii ulivyosikia hapo unatamani uwe nazo
Hongera kwa 222k
SalamaaaNipo poa mke mwee za wewe apo
Km sio gunia LA chawa basi akupe grasi ya makamasi![]()
![]()
kabisa tukiacha utani wa hapa kiukweli kapuku kuna mambo mengi ya msingi kujifunza na kuelimishana na pamoja jinsi ya kuishi na watu
Kapuku wengine ndo faraja yetu ...ukiingia humu unajisahulisha mengiii
Mm rafiki ninaoo hapa ...
Mpenzii ninayeeee
Maarifa kila siku napata ...
Mungu anipe nini kama sio gunia la chawa
Sahihikuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
Long live kf me naweza kuelezea hata nisimalize jamaan tupo humu kama familly wengine hatujuani lakini unaweza jua tunajuanaKaandika Bitoz na ninaongezea bila ruhusa (nimeacknowledge though)
Muhimu malengo yetu yametimia (na kutimia kwake hakutufanyi tukalewa sifa, Toyoda alipotengeneza gari aliendeleza ujuzi hadi leo tuna Toyota)
1/Wengi tumekuwa marafiki hapahapa pia hadi nje ya JF(wengine hadi wamekuwa wapenzi.....wengine kusaidiana hadi kwenye shida na raha) --- na bado tunaendelea kuwa karibu
2/Tunajifunza mengi humu kupitia post mbalimbali haswa segment hivyo tumeongeza maarifa(wapo pia wanaJf kibao tu wanaitegemea hii thread kupata mawili matatu hadi wazee wanaingia kufuatilia segment maana hawakutani na matusi wala ujingaujinga ), ujinga ujinga na name calling ni ngumu kuukwepa humu, Makapuku ni bahari Majahazi yapo na boat mwendo kasi zipo
Hayo ndo malengo yetu makuu na tunayatimiza
God bless Makapuku
![]()
Kumbe zipo nyingiKesho ni idi ya answar suni
liv mwenyewe kapotelea wapiiAshafunga ndoa na livy
Kweliii shemela ebu fanya urudi jamanUkiwa na shemela nakuja
Mpendwa wa mimiKuna muhamiaji haramu mmoja nilimpa hifadhi na akaichukua kuwa na uhakika wa siku.
Kwani umesikia kuwa iliibiwa au kuporwa?
Nimeona shemela nimepita kimyaCc shunie
Lol!
Ile haikuwa habari ya kuileta huku bhana anko, wewe unajua kabisa ilivyokuwa mtihani kuipata

hahahhh hilo deni la kwa ba mloka la nani sasasorry accepted. Kumbuka hili ni goma langu ujue si la anko
K ipiii hiyo binamu ebu elezeaUnafikir anko wangu atakubali kiurahisi! Ipo siku alishasemaga eti hajui kusoma na kuandika yaani mratibu elimu alikesha wakafikia muafaka aandikishwe ngumbaru japo azijue KKK
Siku ya kwanza tu walipomwandikisha akaambiwa aelezee K, yarabi toba, walimfukuza yeye alikuja na K yake tu sijui kaitoa wapi
Itabidi uulipe sasaMvua imenyesha leo ushasombwa na mafuriko ya kibarazani![]()
![]()
![]()
![]()
Anaitwa Baba DavieHivi Lee Empire jina jingine ni Baba D?
Alihesabu hadi 1500 akaona hili zigo sasa yatosha, saa hizi hahesabu anazima kwa uzito
