Makapuku Forum

Makapuku Forum

Long live kf me naweza kuelezea hata nisimalize jamaan tupo humu kama familly wengine hatujuani lakini unaweza jua tunajuana

Kapuku imenikutanisha na kivuruge wangu mimi apa Baba D wangu

Bitoz na wengine mbarikiwe kwa kuanzisha hii kitu, kuna upendo humu sio wa nchi hii nawapenda jamaan
Bila kumsahau mama mchungaji
 
Long live kf me naweza kuelezea hata nisimalize jamaan tupo humu kama familly wengine hatujuani lakini unaweza jua tunajuana

Kapuku imenikutanisha na kivuruge wangu mimi apa Baba D wangu

Bitoz na wengine mbarikiwe kwa kuanzisha hii kitu, kuna upendo humu sio wa nchi hii nawapenda jamaan
Kitu kizuri ni nadra kukuta watu wanagombana humu yaani ni jambo la kushangaza tofauti na thread zingine
Nafikiri tukipanda upendo tunavuna furaha....tukipanda chuki tutavuna mikwaruzano
.......
 
Name calling ni kutukanana matusi na lugha nyingine za kukera! Na hasa pale mnapokuwa hamtaniani.

Mfano, mimi hupenda kuandika mhamiaji haramu, kama nitamtaja memba wa hapa kama mhamiaji haramu ilhali inajulikana kabisa hatuna utani wa namna yoyote basi hii ni tusi au lugha ya kukera.

Napenda utanilakini si wa kukwazana na kama hatutaniani basi siwezi kufanya utani wa kukera hata sikumoja. Ikitokea nitaomba radhi
Umeeleweka
....
 
ARGqfjfhjhds covfefe

tumblr_md1sobG0aW1rgms8uo1_500.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom