Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Pazuriiii ...ila ingekuwa bongo pangekuwa pashaharibikaa ...watu kwenda kupenzika na kupiga selfieHitachi Seaside Park, Japan
![]()
Pazuriiii ...ila ingekuwa bongo pangekuwa pashaharibikaa ...watu kwenda kupenzika na kupiga selfieHitachi Seaside Park, Japan
![]()
Hahahaha kitandani lawama piaAcheni ubishoo
Mtakula kuku wa dawa na kuishia kupata saratani
![]()
![]()
![]()
.....
Afrika katika ubora wake wa kipekee!![]()
Bendera za Zanzibar kabla ya Muungano wa kimagumashi na Tanganyika![]()
Okello ni Mjaluo wa Uganda/Kenya licha ya kuongoza mapinduzi historia ya ushiriki wake haisemwi sababu siyo Mzanzibar![]()
Amemsaidia Karume kuonekana shujaa yaani Okello hakuhitaji madaraka .....kisha Karume baada ya kuweka madarakani akamgeuka
.......
Nifanyejeee sasa mamiiiMbona umeguna?
1978 - Luis Garcia anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji / Winga wa zamani wa Barcelona, Atletico Madrid, Liverpool na timunya taifa ya Spain.
Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Liverpool.
Wapi tena
Ungeongea chochote usiguneNifanyejeee sasa mamiii
Hapo ingekuwa pananukia uchafu tuPazuriiii ...ila ingekuwa bongo pangekuwa pashaharibikaa ...watu kwenda kupenzika na kupiga selfie
ShukraniShukrani Musson kwa historia ubarikiwe sana
Sijapataa mwaliko sahihiUngeongea chochote usigune
Mafundi wa mpiraHappy birthday ...
Leo siku ya wachezaji amaiziiiing dimban
mhHapo ingekuwa pananukia uchafu tu
Sisi nomaaaaHapo ingekuwa pananukia uchafu tu
KinomaaaaaMafundi wa mpira
Karibu mimi nakupa mwalikoSijapataa mwaliko sahihi
Likizo ya majira ya joto panafaa sana hapoSantorini island, Greece
![]()
Waaaaaooooh asanteeeKaribu mimi nakupa mwaliko