Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
MmmmhKaribu mkuu, itabidi uambatane na Bitoz kwa niaba ya wanakapuku wote!
Mpango mzima Mwanza!
Kete kwangu tenaaa ...mimi nategemea kwenu inshort nilikuwa sifungiii ila nafunguaaNakusikiliza wewe Ostadh
1986 - Lionel Messi anazaliwa.
Mchezaji mahiri kutoka Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.
Sina mengi ya kumuelezea nadhani kila mtu anajua Messi ni nani.
Ni mchezaji bora zaidi na mwenye kipaji cha hali ya juu kuwahi kumshuhudia toka nifatilie kabumbu.
happy birthday
Oooooooh sasa hizo habari za mwanza zimekaajeeAmekuja lakini, hope alikuwa swalaaa...
Mapupu hayoHadi kupika![]()
Karibu supu ya mbuzi
![]()
![]()
![]()
.......
.....
Thai maana yake ni people/human being1939 - Nchi ya Siam yabadilishwa jina na kuwa Thailand.
R.i.p Emilio2013 - Emilio Colombo anafariki Dunia.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 40 wa Italy.
Ngoja nikutibue ili uwe na mood ya kunichana..Mh kwa leo hapana aisee sipo katika hiyo mood hiyo kitu inakuja automatically
Hahahah anko magu ujue sio mto mzuri alegeze kidogoKete kwangu tenaaa ...mimi nategemea kwenu inshort nilikuwa sifungiii ila nafunguaa
Kama na mm natoka sawaaausiniambie unataka nishinde nyumbani
Shukrani Musson kwa historia ubarikiwe sanaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, sabato njema.
Lakini kama yamechanganywa sio mapupu peke yakeMapupu hayo
Wee si umesema haushindiii home![]()
![]()
unanitia aibu ujue
Ndio basi natoka zangu mie niendelee na mambo yanguNgoja nikutibue ili uwe na mood ya kunichana..
Hii ndo akufuzayee akwambiiii timukaaaHahahaha relax