Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Hahahaha walaWee nshakusomaa mkuu kumbe unanizungushaa while wewe ndo maalimu hapa
Hahahaha walaWee nshakusomaa mkuu kumbe unanizungushaa while wewe ndo maalimu hapa
daa bongo tajir hafungwi2013 - Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi anakutwa na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake na vilevile kutembea na watoto wadogo ( makahaba ) hivyo anahukumiwa kwenda jela miaka 7.
Pia aliwahi kumiliki klabu ya Ac Milan.
Ila bitoz unafugaje mbuzi huko town...?Kuna bara,kanga na kuku![]()
....
Ukaribie EID kwa niaba ya wanakapuku wote!Ahsanteni wadau wote mlioniamsha asubuhi kwa mawili matatu
Nafikiri leo wengi tupo free kukinukisha kupelekea Eid
Niwatakie jumamosi njema
.........
Ngoja niongee na Sirro !Ahaaaah mm kijanaaa sio muogaaa ....![]()
![]()
![]()
![]()
MmmmmhKama nitakuwepo nitakuwa busy kwenye mialiko![]()
1947 - Kenneth Arnold anakuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa ameona vitu vipaavyo visivyojulikana maarufu kama UFO ( Unidentified Flying Objects ) huko Washington.
Usinifanyiee hivo ...ujue tunayemwamini ni mmoja na yatupasa kushirikiana kwa kushirikishwaaa...Hahahaha wala
Toa taarifa kamili mkuu ...mambo ya msingi hayo usilete utaniii ...Ukaribie EID kwa niaba ya wanakapuku wote!
Mpango mzima Mwanza!
Limenikumbusha mshikaji wangu nimesoma nae!Lina nn Transcend
Bablai kule ni kwerekama wanauwa Zombie
Kitu ambacho hakitatokea Tz2013 - Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi anakutwa na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake na vilevile kutembea na watoto wadogo ( makahaba ) hivyo anahukumiwa kwenda jela miaka 7.
Pia aliwahi kumiliki klabu ya Ac Milan.
Karibu mkuu, itabidi uambatane na Bitoz kwa niaba ya wanakapuku wote!Asante mkuu
Lakini mwaliko wangu sijaupataa
Nakusikiliza wewe OstadhSawa mkuu ...
Mwaliko vipiiii
Hahaaa! Mbuzi alifia kwa muuza supu nini ?Mwenyewe ukija kumwaga povu simo
![]()
![]()
![]()
.....


Fanya leo leo tuu shuniii...!Nimemuongelea shululu tu ujue we una mambo yako subilia siku yako nikitaka kukuongelea sawa T