Makapuku Forum

Makapuku Forum

3ae3c9278a67f901fc9c73b672f4a00c.jpg
Kuna bara,kanga na kuku
....
Ila bitoz unafugaje mbuzi huko town...?

Mimi labda niende ngorongoro crater kwa ma-babu zangu
 
1947 - Kenneth Arnold anakuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa ameona vitu vipaavyo visivyojulikana maarufu kama UFO ( Unidentified Flying Objects ) huko Washington.
6643ebc7dbabd8949c71a06ddc1ba404.jpg
5658718c847250f30ba7f5cd2130c732.jpg
6a3a3ddb207f91f5c257104e2d8d0857.jpg
Huyu bwana ni rubani
Alikuwa akiwndesha ndege binafsi wakati anakatiza Mount Rainier akaviona vitu/object hivyo vikikimbia kwa kasi ya Maili 1200 kwa saa
Ilikuwa ni mara ya kwanza ....Habari ikaenea dunia nzima
......
 
1982 - Kevin Nolan anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Bolton, Newcastle na West Ham.

Katika timu zote hizo alizocheza katika Ligi Kuu amekuwa kepteni wa hizo timu huku akiwa na kocha wake Sam Allardyce " Big Sam " katika timu zote hapo juu.

Kwasasa anacheza soka katika madaraja ya chini England.
 
1986 - Lionel Messi anazaliwa.

Mchezaji mahiri kutoka Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.

Sina mengi ya kumuelezea nadhani kila mtu anajua Messi ni nani.

Ni mchezaji bora zaidi na mwenye kipaji cha hali ya juu kuwahi kumshuhudia toka nifatilie kabumbu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom