Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha kitandani lawama pia
26b4624e56e9c73d72856bccc6a7aed1.jpg
 
1982 - Kevin Nolan anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Bolton, Newcastle na West Ham.

Katika timu zote hizo alizocheza katika Ligi Kuu amekuwa kepteni wa hizo timu huku akiwa na kocha wake Sam Allardyce " Big Sam " katika timu zote hapo juu.

Kwasasa anacheza soka katika madaraja ya chini England.
b16c0d55a9a3114eb4b0883036baef08.jpg
12d2b0bd46bbfe985bf742a597f0b817.jpg
Kuchukua kakombe kadogo ukiwa timu ndogo ni zaidi ya kushinda UEFA ukiwa na Real Madrid
Hapo unakuwa mfalme kijiji kizima
11cef0181ea5c4ad1e0ab9885cc9089c.jpg
Duh wanaelewana sana aisee
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom