Makapuku Forum

Makapuku Forum

2002 - Treni ya Abiria inagongana na Treni ya Mizigo eneo la Igandu na Msagali Mjini Dodoma na kuua watu 281.

Ndio ajali ya treni iliyoua watu wengi zaidi katika historia ya bara la Afrika.

Rais Mkapa akatangaza siku kadhaa za Maombolezo na maiti ziliwekwa uwanja wa Jamhuri ili watu watambue ndugu zao.
305beb85dcc5905b38d883933f86e533.jpg
d81aa5db25cc30b810fe0cd30d4506a8.jpg
1ac2b027957f11d095c915ea784e9eca.jpg
b2fbc25924eadfa9609aeb0c3ff3df83.jpg
Pamoja na janga hilo hatujajifunza ajali za kizembe za treni zina endelea tu kutumaliza
Ni kama MV Bukoba tu
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom