Makapuku Forum

Makapuku Forum

1963 - Uingereza yaipa Zanzibar mamlaka ya kujiongoza yenyewe.

Lakini waarabu wakaendelea kutawala mpaka pale Januari mwaka 1964 ( miezi 7 ) ambapo Wazanzibar wakafanya Mapinduzi ya kumuondoa Mwarabu chini ya Uongozi wa Field Marshall John Okello.
3139c219972e11393e1099f5df001543.jpg
fb1eb99c7fe9003907218ce6700cd79a.jpg
2e96b5594ddf476c44fdce92b0d95146.jpg
Bendera za Zanzibar kabla ya Muungano wa kimagumashi na Tanganyika
5a52c2948291be922f690dd6f302c3d4.jpg
f3ee9ebf8004fe899c433518159c8c3d.jpg
Okello ni Mjaluo wa Uganda/Kenya licha ya kuongoza mapinduzi historia ya ushiriki wake haisemwi sababu siyo Mzanzibar
Amemsaidia Karume kuonekana shujaa yaani Okello hakuhitaji madaraka .....kisha Karume baada ya kuweka madarakani akamgeuka
.......
 
1982 - Kevin Nolan anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Bolton, Newcastle na West Ham.

Katika timu zote hizo alizocheza katika Ligi Kuu amekuwa kepteni wa hizo timu huku akiwa na kocha wake Sam Allardyce " Big Sam " katika timu zote hapo juu.

Kwasasa anacheza soka katika madaraja ya chini England.
Hbd Kevin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom