Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Naijuaaa tena tareh mule muleeeeeeeeYaan kama nakuona halaf ujue dec bday yangu woiiiii kibibi gagula mie
Woooooooooooozaaaaaaaaaaaaaaa
Naijuaaa tena tareh mule muleeeeeeeeYaan kama nakuona halaf ujue dec bday yangu woiiiii kibibi gagula mie
Acha utaniii mamaEid mubaraq
Naijuaaa tena tareh mule muleeeeeeee
Woooooooooooozaaaaaaaaaaaaaaa

Wee muacheee ....![]()
![]()
Bailly kiboko
2013 - Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi anakutwa na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake na vilevile kutembea na watoto wadogo ( makahaba ) hivyo anahukumiwa kwenda jela miaka 7.
Pia aliwahi kumiliki klabu ya Ac Milan.
Asante ubarikiweee ...Kwa upande wangu nitasherekea nikiwa Mwanza, baada ya swala ya Eid nitatembelea wagonjwa hospitalini kuwapa moyo pale Bugando na Seketoure.....
Nitag plzMadame S bora umekuja eid ni lini kwani
Mbona unacheka?
Haha ha in advanceAcha utaniii mama
KaisahauuuAisee
Baba D jamaanNitag plz
Nimefurahi jamaan TmullerMbona unacheka?
Anatuchanganyaa kama ni leo mbona nimepatikana
Leo ndio tunaangalia mwezi kama utatoka leo kesho ni sikukuu kama hautatoka kesho ya mwisho tunamaliziaMadame S bora umekuja eid ni lini kwani
Pole yake ila me wala simu uisahau hapo utakutana na missed calls zako na text zako wala siishikiKaisahauuu
Sio leoAnatuchanganyaa kama ni leo mbona nimepatikana
Kwa hiyo Madame S ndo mwaliko tayarii??Haha ha in advance
Ooh sawa madame mwaliko vipiii mamyLeo ndio tunaangalia mwezi kama utatoka leo kesho ni sikukuu kama hautatoka kesho ya mwisho tunamalizia
Leo ndio tunaangalia mwezi kama utatoka leo kesho ni sikukuu kama hautatoka kesho ya mwisho tunamalizia
