Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu Spika wa ajabu sana anafikiri anakomoa wapinzani wakati wanaoumia ni wananchi.....pesa za maendeleo zinatokana na haohao walipa kodi
Kazi ya mbunge ni kuwawakilisha tu wasipopoleka huduma kwenye majimbo ya wapinzani ndo wanachochea chuki dhidi ya chama utawala
Stupidity
.
.
.
Kuhusu Kibiti hii ni too much
Sizonje yupo hukohiko Pwani na bado wanaua tu
Juzi tu Polisi wameonesha ubabe kwa wakemavu kumbe hawana lolote
Inasikitisha
.
.
Ahsante mdau kwa magazeti
Yaani sina hana ya kukodoa macho kwenye meza za magazeti
..........
Pamoja sana bitoz
 
1986 - Kombe la Dunia mwaka 1986 nchini Mexico: Mechi ya robo fainali baina ya Uingereza dhidi ya Argentina inafanyika.

Diego Maradona, nahodha wa Argentina anafunga magoli mawili murua na kuitoa England kwa jumla ya magoli 2-1.

Goli la kwanza, Maradona alilifinga kwa mkono na goli hilo linajulikana kama Goli la Mkono wa Mungu.

Goli la pili, Maradona alipiga chenga wachezaji watano wa England kabla ya kufunga. Goli hili linajulikana kama Goli la Karne.

Hiyo ni moja kati ya mechi za kukumbukwa za wakati wote katika historia ya mchezo wa soka.
 
1903 - John Dillinger anazaliwa.

Alikuwa ni Jambazi sugu aliyesumbua nchini Marekani katika miaka ya 1930's kipindi cha Mdororo wa Uchumi.

Alikuwa na genge lake kubwa la kihalifu lililokuwa linavunja benki na kuiba.

Alikuja kuuliwa na FBI mara baada ya kutafutwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom