Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Sipogo mie shemela magroup ya humu jfWewe upo kwenye hayo magroup
Sipogo mie shemela magroup ya humu jfWewe upo kwenye hayo magroup
Nimeamka poa shemela hofu kwako tuShemela wa mimi apa, umeamkaje?
Na waingereza mpaka leo hii mechi huwa inawaumiza sana moyoni1986 - Kombe la Dunia mwaka 1986 nchini Mexico: Mechi ya robo fainali baina ya Uingereza dhidi ya Argentina inafanyika.
Diego Maradona, nahodha wa Argentina anafunga magoli mawili murua na kuitoa England kwa jumla ya magoli 2-1.
Goli la kwanza, Maradona alilifinga kwa mkono na goli hilo linajulikana kama Goli la Mkono wa Mungu.
Goli la pili, Maradona alipiga chenga wachezaji watano wa England kabla ya kufunga. Goli hili linajulikana kama Goli la Karne.
Hiyo ni moja kati ya mechi za kukumbukwa za wakati wote katika historia ya mchezo wa soka.
HBD John dillinger1903 - John Dillinger anazaliwa.
Alikuwa ni Jambazi sugu aliyesumbua nchini Marekani katika miaka ya 1930's kipindi cha Mdororo wa Uchumi.
Alikuwa na genge lake kubwa la kihalifu lililokuwa linavunja benki na kuiba.
Alikuja kuuliwa na FBI mara baada ya kutafutwa sana.
Kweli kabisaa maana gharama za mazishi yake hazitafikia hiyo pesa anayoitakaKwanza nahisi watashkuru akijiua
Kati ya Marais walioacha heshima1947 - Jerry Rawlings anazaliwa.
Alipata kuwa Luteni na Rais wa Ghana.
....wabilahiiiiiTutawauaaaa walahiiiiiii
Sanaaa sio kwa kupandisha huko jamaanPesa inatafutwa kila kona.
RIP pat1993 - Pat Nixon anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mke wa Rais wa Marekani, Richard Nixon.
1941 - Jeshi la Nazi la Ujerumani laivamia Urusi katika kile kilichojulikana kama Operesheni Barbarossa.
Amekurudisha UnitedNamkimbilia Baba D shemela huko chelsea![]()
Nimesikia shemela wanguShemela umesikia
Tenaaa nyeupeeeeeeeeeeBaba D kwelii kwa roho moja
Niko poa kabisa shemelaNimeamka poa shemela hofu kwako tu
Uko poaa ??Poa chalii yanguu
Hujaelewa swaliMpendwa
Haya Magroup ya Whatsapp ni hatari sana kwa Wanandoa na Wachumba. Nimeshuhudia mambo ya Kutisha najua haupendi kutembea nimekuletea link usome

SaaaaanaaAtariiiiii
Hahahah hivi ebu jaribu kuniulizia hajanirudisha kwa mkopo kweliAmekurudisha United