BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mungu yu mwemaWakuu kumekucha salama ...Tumshukuru Mungu
Soon UF na dondoo za bbc
Mungu yu mwemaWakuu kumekucha salama ...Tumshukuru Mungu
Soon UF na dondoo za bbc
Milele DaimaMungu yu mwema
Ulimi kiungo kidogo matatizo yake ni makubwa..ukimfuatilia huyo kijana mwisho wake Mungu anajua..tumuombee tu aombe toba na aujue wema wa Mungu kwake kuliko kujitamkia maneno hayo.kweli maisha magumu jamaan![]()
Waleeeeeeeeteeeeeeee
Asante mkuu ...Mfungo 27 leo hivyo bado siku 2 au tatu! Mwadaumwadauya Ramadhaaaaan.....!
Ahsante pia!Asante mkuu ...
Polepole bitoz asikusikieWaleeeeeeeeteeeeeeee
This is thimbaaaaa bwanaaaaaaaah
this is simbaaaaaaaaaaaaaaa
Nyumaaa ntintiiii katiii ntitiiii mbeleeeh ntiintiiiiiiiiPolepole bitoz asikusikie![]()
![]()
this is simbaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli kabisaKatika maisha misukosuko ni mingi ila hutakiwi kukata tamaa
Hongera waislamu wote mnaofunga mnaotimiza nguzo hii muhimu,Mungu awasaidie mmalize salama ,huu ni ushindi katika imani,siku hazigandi Ramadhan Kareem kwenu wote Mwenyezi Mungu BABA wa Rehema awabariki mmalize salama.Mfungo 27 leo hivyo bado siku 2 au tatu! Mwadaumwadauya Ramadhaaaaan.....!
Good morning mkuuSiku nyingine nzuri ya kumshukuru Mungu
Wanasema kila tunapoamka ndo tunalikaribia kaburi
Gooodmorning
Thanks dear
Ahsante mkuu!Hongera waislamu wote mnaofunga mnaotimiza nguzo hii muhimu,Mungu awasaidie mmalize salama ,huu ni ushindi katika imani,siku hazigandi Ramadhan Kareem kwenu wote Mwenyezi Mungu BABA wa Rehema awabariki mmalize salama.
Waleeeeeeeeteeeeeeee
This is thimbaaaaa bwanaaaaaaaah
Hivi nyasi zenu bandia bado zipo stoo Msimbazi au mshapeleka Bunju?Polepole bitoz asikusikie![]()
![]()
this is simbaaaaaaaaaaaaaaa
Baba D shikamoo jamaan umeamkaje lakiniWakuu kumekucha salama ...Tumshukuru Mungu
Soon UF na dondoo za bbc
Asante Baba D wangu ubarikiweKatika dondoo za bbc. ...
Majeshi ya Iraq na Marekani yamesema wapiganaji wa Islamic State wameulipua msikiti mkubwa wa al- Nuri uliopo mjini Mosul na pamoja na mnara wake mkongwe uliodumu karne na karne.
Viongozi wandamizi wa mataifa makuu matano yanayojumuika katika ushirika wa bonde la mto Nile wanakutana nchini Uganda kujaribu kutanzua tofauti zilizosababishwa na mapatano ya Entebbe kuhusu matumizi ya maji yamto huo.
Wakimbizi kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo walioko katika kambi za wakimbizi nchini Rwanda wanalalamikia kupungua kwa idadi ya wanaohamishwa kutoka kambini na kwenda kuishi nchini Marekani.
Mahakama ya kikatiba nchini A-Kusini ambayo ndio yenye uamuzi wa juu kabisa leo itaamua iwapo kura ya siri inaweza kutumika bungeni kumuondoa rais Jacob Zuma madarakani .
Nchini Tanzania ,Dr.Askwari Hilonga mtaalamu wa masuala ya Uhandisi wa kemikali ameamua kutumia taaluma yake kutatua matatizo yanayosababishwa na maji kutokuwa safi na salama katika jamii inayomzunguka.
Uchafuzi wa mazingira ya ziwa Tanganyika kwa upande wa Burundi umekua ukitia wasiwasi mashirika ya kimataifa na hata ya raia wa nchi hiyo ya kulinda mazingira kwa ujumla.
