Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi nyasi zenu bandia bado zipo stoo Msimbazi au mshapeleka Bunju?
bfc0181ab8e3ea2f084e6dc0e0ce266b.jpg
Nataka niwalete mbuzi wangu hapo Msimbazi maana huku Mabibo malisho yamepungua
........
madenge tuliaa najua tumewaachiaaa pengo la kudumu....

This is simba bwanaaaah ....Ngao ya hisani kama hatujawapiga 5 o'clock sijuii
 
Asante sana Husna.

Angalizo: katika hali yotote ile mama akijisikia ni mjamzito (amekosa siku zake za maua)kwa namna yoyote kama alikua anatafuta mtoto au imetokea tu bila taarifa ni muhimu kwenda hospitali,kufanyiwa vipimo maalumu vya awali vya ukuaji na maendeleo ya mtoto pia afya ya mama,bahati nzuri siku hizi utaalamu na vifaa vimeongezeka na hata inasaidia kuokoa mama na mtoto aliye tumboni na hatimaye atakayezaliwa...tusikae nyumbani kungoja dharura..nimeona watu wengi wakiokoa uhai kwa kuwahi hospitali na nimeona watu wengi wakipoteza uhai kwa kuchelewa kufika hospitali..dawa mbadala ni nzuri kukinga lakini kwa wajawazito zinahitaji uangalifu na ufuatuliaji wa karibu sana .

MUNGU ametupa nafasi ya kushiriki uumbaji kwa kukutana na mume , kubeba mtoto miezi tisa tumboni tuiheshimu hii zawadi ya uhai na tuitunze maana MUNGU AMETUHESHIMU.Kushiriki ulinzi,uhai na maendeleo ya mtoto,kuna mambo yanazuilika ukiwahi hospitali MBARIKIWE
Ameeen
 
Hahahha singano simba huwezi kurudi labda uje kucheza bure na azam ndio hivyo labda ukachukue mill 15 pole sana uliondoka kwa dharau sana

Shemela wangu mimi hope umeamka salama

Nashkuru kwa udhamini muke ya pedeshee lee mutu ya niniii sijui wanamwita wenyewe me nampenda tu hivyo hivyo jamaan Baba D wangu
Mutu ya mke wa lee cheupeeee shuny .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom