Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Upako umemuingiaAsante Sweetie..
Naona umeungana na BH katika segment ya kitakatifu..
![]()
Upako umemuingiaAsante Sweetie..
Naona umeungana na BH katika segment ya kitakatifu..
![]()
Habari mkuuForever mkuu..
YeahThats how its ! Situations
Sawa sawa11. Yaya Toure na Kolo Toure
Ndugu hawa wawili kutoka Ivory Coast wamecheza soka la kiwango cha juu, wakati Kolo alitamba na Arsenal na Man City, Yaya alitamba na Barcelona na Man City
![]()
Mpaka Nimepata MsisimkoMekumiss..
Nakuonaa nakuonaaaUpako umemuingia
Sakayo mzimaYeah
Sio kisiwa hicho mkuuAisee, na hiyo nchi iko juu ya maji
MzimaSakayo mzima
KAPUKU TV LEO
Leo nawaleta Cristiani Ronaldo Jr .
CRJ alizaliwa June 17 2010 jijini San Diego -Marekani
CR junior hamjui mama yake hadi leo, Ronaldo alimpa mimba waiter wa Hotel moja nchini marekani na kumlipa Euro 1omillion sawa na billion 25 za kitanzania.
Sasa video ya hapo chini inaonesha CR junior akiwapiga chenga watoto wa Marcelo wakati wa fainali za Eufa mjini Cardiff.
Cr junior anaminika kuchukua nyayo za Baba yake Cr7 .
Njema kabisa sakayo habari za kukamilisha sikuMzima
Habari yako
Tuko pamoja mkuu s wa TumosaAsante mkuu Chaplin
Mtoto wa nyoka ni kanyoka (natania tu)Mtoto wa nyoka ni nyokaa
Mzee wa kugonga kkPhili mpira wake ilikuwa ni fujo sana aisee, alimkimbiza Reyes Uingereza

Uchovu tu jamaniNjema kabisa sakayo habari za kukamilisha siku
Wiki imeanza vizuri sanaShukrani pia kwa kutushushia nukuu
Leo naona kuna mambo mazuri kibao utafikiri "tumeambizana"
![]()
![]()
![]()
.....
Shukrani mkuu tuko pamojaAhsante Mzee wa vyombo vya moto hii sikuwahi kujua
Najua tu Sauzi kuna mabasi ya Scania yanaburuza na tela la mizigo
.....
Aksante sana!Wakuu heshima kwenu kapuku wote ...j3 ilikuwa poa sana japo nimeadimika ila yote ni kulijenga taifa
Twende sawa kwenye mada .....
Sickle cell kama inavojulikana seli mondu ni ugonjwa /hali wa /ya kurithi sio kuambukizwa kama magonjwa mengine na hii inatoka kutoka kwa mzazi kwenda kwa mtoto ...kwa kifupi ni genetic disorder
Ugonjwa huu kitaalamu unaitwa sickle cell anemia ikiwa ni kwa sababu unahusika na kuathirika /kuathiriwa kwa damu hasa chembe chembe zake ...nazungumzia Haemoglobin (Hb)
Ugonjwa huu unaharibu hasa usafirishaji wa oxygen gas kutoka sehem moja ya mwili kwenda nyingine na hii ni kwa sababu Hb ndo zinasaidia kusafirisha oxygen katika mfu Hbo ....
Cell nyekundu za damu ambazo mtu ana disoder hii muundo wake unakuwa kama nusu mwezi kwa kifupi
Mwanzoni nimeanza kwa kusema kuwa huu ugonjwa unarithishwa nikimaanisha kutoka mama au baba kwenda kwa mtoto
Tujikumbushe kitu muhimu kinachoitwa chromosome na hapa ntaizungumzia chromosome number 11 ...zipo nyingi na kila moja ina kazi zake ..inapotokea kasoro kidogo hasa mutation katika chromosome namba 11 ndo hii kitu kinatokea ..
Mfano ...kwa kuwekana wazi sex chromosone za binadamu ni X and Y na hizi disorders zinaisakama sana X ukilinganisha Y na zipo sources zinazoonesha Y haiusiki na masuala haya ...
Twende sawa kapuku ...baba anakuwa na XY na mama anakuwa na XX ....kidogo ya mada tafazal baba hapa mara zote ndo huwa anatengeneza jinsia ya mtoto usimlaumu mama eti kwa nn msichana kila uzaz au kidume ...uzembe wako ...ila haituhusu turudi pa leo
......ili mwanaume aonekane kapata janga hili chromosone ya X ikishakuwa na kasoro automatic anakuwa na sickle cell anemia tofauti na mama yeye anaweza chromosome moja ikawa na hicho kitabia wakati nyingine haina huyu ataonekana kawaida ....ndefu lakin tusichoke ..kwa hiyo ni simple mwanaume kuwa affected ila ni wachache make uhai wao ni mdogo sana kwenye jumuiya ...ila mwanamke anaweza kuishi kama zote hazipatwa na janga ...X moja affected moja normal hawa wengi ndo tunawaona ila ni.mbaya kwenye kumpata mtoto wa kiume ...
Ni darasa pana waweza kuongeza au kupunguza lengo kuleta maana
FAIDA YA KUWA NA SICKLE CELL ....huyu mtu ata siku moja HAWEZI kuugua Malaria ...
Asanteni
Pole na huo uchovu ila tumshukuru mungu kwa kukupa pumziUchovu tu jamani
Ameeen mkuuPole na huo uchovu ila tumshukuru mungu kwa kukupa pumzi