Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unasema kweli,????
Kweliii shemuuu...
3e31d785beb833e9235c93dcb7f72e17.jpg
 
TOP TEN
Wadau nilikuwa nacheki mpira now umeisha kwa Wajerumani kuwapiga Australia goli 3:2

hapa Tanzania Hasheem Thabeet ni maarufu kutokana na urefu wake aliojaaliwa na Mwenyezi Mungu....Pia kuna jamaa fulani mwaka Alikuwa gumzo baada urefu wake kumzidi kabisa Hashim kiasi cha kushindwa kupatiwa matibabu ya mifupa pale Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI}

Sasa leo nakuletea watu kumi warefu kuwahi kuishi duniani

NB;
"""""""""""""""""""""""""""""
Futi 1 = Inchi 12
Inchi 1= Sm 2.54
Futi 1 = Sm 30.48
""""""""""""""""""""""""""""""
Karibuni
.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom