Makapuku Forum

Makapuku Forum

14. Frank & Ronald De Boer
Wadachi na mapacha hawa walitamba na Ajax na kuchukua Uefa Champions League mwaka 1995 chini ya kocha Louis van Gaal. Pia walitamba kwenye Timu ya Taifa ya Uholanzi whasa Kombe la Dunia la mwka 1998.

Frank%2B%26%2BRonald%2BDE%2BBOER%2B-%2BPanini%2BWorld%2BCup%2B1998.png
09-Frank+&+Ronald+DE+BOER.jpg
season-19981999-barcelona-ronald-left-and-frank-de-boer-after-signing-BJCXTR.jpg
 
13. The Neville Brothers ( Gary & Phil Neville )
Gary na mdogo wake Phil ni zao la akademi ya soka ya Man Utd na walitikisa sana katika miaka ya 2000. gary Neville alikuja kuwa nahodha wa Man Utd wakati mdogo wake akiwa nahodha wa Everton,
neville-brothers.jpg
00369D3700000258-0-Phil_left_and_Gary_right_-a-27_1449073118211.jpg
nintchdbpict000003773344-e1480760738264.jpg
 
12. Gabriel & Diego Milito
Hawa ni ndugu wawili wa Kiargentina ambao nao walitikisa soka kwa kiasi flani. Wakati Gabriel Milito akitesa na vilabu vya Barcelona na Zaragoza kaka yake Diego Milito alitamba na Inter Milan ya Mourinho.

Gabriel_Milito.jpg

160895_heroa.jpg


diego_milito_wallpaper_by_borowagfx.jpg
 
10. Paolo & Fabio Cannavaro
Hawa ni ndugu wawili ambao wote walicheza beki ya kati enzi wanacheza. Paolo alitamba akiwa Napoli kaka yake alitamba akiwa na Napoli, Real Madrid, Juventus na timu ya taifa ya Italy ambao alitwaa Kombe la dunia la mwaka 2006 akiwa Nahodha.

41d471c9d59c45a9abaff9fca582dba9-56041-1444152980.jpeg
SSC+Napoli+v+Liverpool+UEFA+Europa+League+2cjcwaOoYnAl.jpg
Fabio_Cannavaro.jpg
 
NUKUU YA LEO

I think soon after i became director of the CIA -President Obama pulled me into the oval office and said "Look, i just want you to know that your top priority is to go after Osama Bin laden

Nadhani mara baada ya kuwa mkurugenzi wa CIA, Rais Obama aliinita mimi kwenye ofisi yake ya oval na kuniambia " Nakata ujue kuwa wewe ndie mtu mwenye kipaumbele kikubwa kumfatilia Osama Bin laden.

Haya ni maneno aliyotamka mwanasheria, mwanausalama na mkurugenzi wa zamani wa CIA, Bwana Leon Panetta aliezaliwa mwezi June 28 1938, jijini carlifonia akiwa ni mzaliwa wa wazazi wenye asili ya kiitaliano.

Panetta, baada ya kumaliza chuo kikuu alienda jeshini ya kufanya kazi katika kitengo cha intelijesia ya jeshi kwa miaka 2 kabla ya kutoka jeshini na kujiunga katika ulingo wa siasa.

Uelewa, haiba na ujasiri aliokuwa nao panetta ndio nguzo kubwa za mafanikio yake katika utumishi wa umma kwa muda wote aliofanya kazi ya serikali ya marekani.

Baada ya uteuzi wake mwezi january mwaka 2009, kuliibuka minong,ono mingi juu ya uwezo wake na nafasi aliyopewa ya ukurugenzi wa taasisi nyeti katika usalama wa marekani yaani CIA-Director. Wengi waliaamini utumishi wake wa miaka 2 kama afisa wa intelijensia jeshini usingetosha kuhimili mikikimikiki ya CIA.

Lakini pia ikumbukwe Panetta alikuwa White House Chief of staff, yaani ni msimamizi wa watumishi wa ikulu, mara nyingi anakuwepo kwenye morning breafing ya hali ya usalama kwa rais. Kuwepo katika vikao hivi kuliweza na kulitosha kabisa kumpa uzoefu Panetta , kupitia hivi aliweza kujua siri nyingi na mambo mengi ya kiusalama kuhusu taifa la marekani.

Kama ambavyo Watanzania walipiga kelele baada ya uteuzi wa Dr. Modestus Kapilimba kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa TISS ndivyo wamarekani walivyopiga kelele uteuzi wa Leon Panetta. Dr Kapilimba kafanya kazi sana BOT na idara iliyokuwa inashughulikia vitambulisho vya taifa NIDA bila kujua ni undercover agent wa TISS leo hii yeye ndio Top icon ya Tiss,hii ndio tabia ya jamii ya kijasusi

Turudi kwa Panetta, pamoja na watu kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wake tayari Obama alishampa assignment ambayo wengi walipwaya na kufanya vibaya..

View attachment 526982 Leon Panetta akiwa na Rais ObamaView attachment 526983 Leon Panetta akiwa na Dianne Fienstein aliyekuwa akipinga uteuzi wake.

Itaendelea.......

Wakati mwingine jongoo hubadilika na kuwa nyoka.
Aisee, thanks mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom