BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HBD Joshua Nkomo1917 - Joshua Nkomo anazaliwa.
Makamu wa Rais wa zamani wa Zimbabwe na mmoja kati ya waasisi wa Uhuru wa Zimbabwe.
HBD Joshua Nkomo1917 - Joshua Nkomo anazaliwa.
Makamu wa Rais wa zamani wa Zimbabwe na mmoja kati ya waasisi wa Uhuru wa Zimbabwe.
Hongera1961 - Kuwait yajitangazia Uhuru wake toka kwa Waingereza.
RIP Julius na Ethel Roseborg1953 - Julius na Ethel Roseborg wananyongwa huko Sing Sing jijini New York kwa kosa la kufanya ujasusi kwa Urusi dhidi ya Marekani.
Hbr ya asubuhi hny,shukrani kwa MagazetiView attachment 526781View attachment 526783Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema

Hongera Baba wote Happy Fathers DayLeo katika Historia:
1910 - Siku ya kwanza ya akina Baba ( Father's day ) yasherehekewa huko Washington DC

2012 - Mmiliki wa mtandao wa Wikileaks anaomba hifadhi katoka ubalozi wa Equador uliopo jijini London baada ya kuanza kusakwa na Marekani kufuatia kutoa siri muhimu kuhusu mauaji ya raia wasio na hatia yanayofanywa na Jeshi la Marekani.
Njema ubarikiweHabari za asubuhi, wapendwa katika makapuku forum
Nawe pia ubarikiwe
1917 - Joshua Nkomo anazaliwa.
Makamu wa Rais wa zamani wa Zimbabwe na mmoja kati ya waasisi wa Uhuru wa Zimbabwe.
Mbarikiwe waislamu wote Ramadhan KareemMfungo 24 leo hivyo bado siku 6 au tano kuumaliza mwezi mtukufu, Ramadhan Kareem!
Mungu awabariki wakuu Shululu na Chaplin kwa magazetiView attachment 526781View attachment 526783Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
KaribuuuuNdugu zangu hili jukwaa nalipenda sema Niko bize sana kwa sasa nalog kimachale tu
Ila tajitahid
Love you all
Ngoja noende kuchukua mpunga/mchele kijijini kwetu maana huu ndo mwezi wa mavuno na maduka ya Mangi na Supermarket yamejaa mchele wa plastiki
Tuacheni usasa saratani zitatumaliza.....tupende kutafita chakula wenyewe kwa kulima au kufuata vijijini
Niwatakie asubuhi njema
........

1959 - Christian Wulff anazaliwa.
Ni Rais wa 10 wa Ujerumani.
MorningMorning Makapuku
HahhaTafakar ya kirat. ..
![]()
Ubarikiwe UF BBC Lee wa ShunieTuwe na siku njema wadau ...Mungu atuongozeee
Asante kwa simulizi jana na leo Lee wa ShunieWakuu kumekucha swalamaaaaaa kabisaaa...Jambo jema
Wale wa simulizi alafu UF...
2014 - Ibrahim Toure anafariki Dunia.
Mchezaji wa zamani wa Ivory Coast.
Ni mdogo wao na Yaya na Kolo Toure.