Makapuku Forum

Makapuku Forum

- Siku ya Kimataifa ya kupambana na Ugonjwa wa Sickle Cell
633adb97d5f95329d0e6cab6fb967763.jpg
852124e46094013a26193b2de012698d.jpg
79403c336d8c131c420574d51a5e1d6b.jpg
Selimundu ni ugonjwa unaoisumbua dunia nzima , kibaya zaidi unarithiwa
Kama una ndugu/rafiki/mpenzi epuka kumpa stress(kumuudhi) ....akiwa kwenye hali hiyo anaweza kupoteza maisha

Cc Mtaalamu wetu Lee
Tunaomba utupige kadarasa
......
 
KUTOKA 14

14.Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya

Mungu Baba Mwenyezi asante kwa kutuamsha salama asante kutupa uhai asante kwa yote unayotutendea wewe ni Ebenezer hakuna kama wewe..naomba utupe kibali tupone ,tusafiri,bariki kazi za mikono yetu ...wabariki wote mahali hapa waweze kuona ukuu wako..asante sababu unatupigania..tunanyamaza kimya maana matendo yako ni makuu

Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen

MUWE NA SIKU NJEMA YENYE BARAKA
Asante kwa neno mama mchungaji
 
KUTOKA 14

14.Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya

Mungu Baba Mwenyezi asante kwa kutuamsha salama asante kutupa uhai asante kwa yote unayotutendea wewe ni Ebenezer hakuna kama wewe..naomba utupe kibali tupone ,tusafiri,bariki kazi za mikono yetu ...wabariki wote mahali hapa waweze kuona ukuu wako..asante sababu unatupigania..tunanyamaza kimya maana matendo yako ni makuu

Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen

MUWE NA SIKU NJEMA YENYE BARAKA
Amina mama mchungaji

Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom