Kirat naeTafakar ya kirat. ..
![]()
Morning kapukuMorning Makapuku
Tuko pamoja mkuuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA
Simba na Yanga kwa kweli movi zao sijui mwisho wake linii
Ha ha ha ha ha ha ha haJina lenyewe tu limenipa woga
Poa poaPamojaa sanaa
Ahsante sana Bitoz kwa ushauri mzuriNgoja noende kuchukua mpunga/mchele kijijini kwetu maana huu ndo mwezi wa mavuno na maduka ya Mangi na Supermarket yamejaa mchele wa plastiki
Tuacheni usasa saratani zitatumaliza.....tupende kutafita chakula wenyewe kwa kulima au kufuata vijijini
Niwatakie asubuhi njema
........
Asantee mme mweeeView attachment 526781View attachment 526783Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
Hii ni thread (uzi) sio jukwaaNdugu zangu hili jukwaa nalipenda sema Niko bize sana kwa sasa nalog kimachale tu
Ila tajitahid
Love you all
Hii sidhani aisee maana kifo chake kina mkono wa wakubwa wa hapohapo CIA
Na mimi kiukweli siaminii make utata wa lile tukio kizungumkutiHii sidhani aisee maana kifo chake kina mkono wa wakubwa wa hapohapo CIA
Ziliundqa tume kibao lakini wakatoa ripoti za kimagumashi tu huku zingine zikifichwa
.....