Wanajeshi baadhi hata hapa Bongo waliojihusisha kupinga mizinga n.k masikio yao yanasumbua maana ngoma zao zimepata matatizo
Shukrani sana mkuu shululuView attachment 526781View attachment 526783Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
Hebu litamke hilo jinaHa ha ha ha ha ha ha ha
Labda nisaidiwwe na kile kitoto cha little big shortHebu litamke hilo jina
Ni kweli maana ilikuwa ni vita kati ya Vietnam Kaskazini dhidi ya Kusini ambayo ilikuwa inasapotiqa na USA kwa kupewa vifaa vya kijeshi n.k
Urais wa tff unamsapot nani,Simba na Yanga kwa kweli movi zao sijui mwisho wake linii
Lakin tuleteenii Niyonzima
Pamoja mme mweeAsantee mme mweee
Ni kweli maana ilikuwa ni vita kati ya Vietnam Kaskazini dhidi ya Kusini ambayo ilikuwa inasapotiqa na USA kwa kupewa vifaa vya kijeshi n.k
Vita ilianza siku Wamarekani walipoenda kuwasapoti Vietnam Kusini na vita kupigwa miaka kama 19 hivi
Kaskazini nao wakasapotiwa na China na Urusi na USA kuambulia kichapo na hivyo Kaskazini kuimeza Kusini na kuunda The Socialist Republic of Vietnam
Kiuhalisia ilikuwa ni vita kati ya Vietnam na USA
......

Pamoja sana MwifwaShukrani Mkuu Shululu kwa kunisogezeab vionja vya Font ferd kiganjani.
Shukrani sana mkuu shululu
Naona huko ulaya nazo media zinasafiria Nyota ya United na Cr7
Anyway tuwe na siku njema

Hebu litamke hilo jina
Kweli ila now na mda umepita vifaa maalum vinasaidia tatizo hiliWanajeshi baadhi hata hapa Bongo waliojihusisha kupinga mizinga n.k masikio yao yanasumbua maana ngoma zao zimepata matatizo
Hata mitambo ya viwandani yenye kelele huwaletea watu matatizo
......
Huyo ni kobe siyo mtuHuyo kweli ni Mzee 130 years
Ukuu wa Mungu ni mkubwa sana
Thanks shem darling
Be blessed shem darlingThanks shem darling
Wachina watu wabaya sanaKazi ipo tuliokimbia shamba ...ila hatuna namna asante kwa ushaurii
Asante shemeji, nawe pia