Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?

Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
 
Mmmmmh!!! HayA hongereni mpendwa kumbe ndio maana BH hakutaki


...first of all ticha: Hajawahi kusema hanitaki
seondly: uko singoland na mimi niko singoland kwa hiyo ninakulike nawe unanilike yaani tunalikeana. Tunaweza kusaidiana kumaliza hiki kiroba ulichonacho na nilichonacho hadi pale tutakapopata mwelekeo sahihi
 
...first of all ticha: Hajawahi kusema hanitaki
seondly: uko singoland na mimi niko singoland kwa hiyo ninakulike nawe unanilike yaani tunalikeana. Tunaweza kusaidiana kumaliza hiki kiroba ulichonacho na nilichonacho hadi pale tutakapopata mwelekeo sahihi
Apo ndo huwa nakukubariii binamu hujawai kuniangushaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom