Makapuku Forum

Makapuku Forum

...anamaanisha wewe ndiye uliyechagiza BH akaacha kuja kuniona pale nilipoumwa jana. Amesahau wewe ni mtuhumiwa namba mbili ambaye tumeshasameheana maana mara zote una nia njema nami na hilo ndo muhimu kwangu
kuhusu mama mchuchu wananisingizia jana simu yangu kutwa nzima alikua nayo Baba D kwahiyo kama kuna vitu vimesemwa ni Baba D ndio kaaandika binamu sio mimi hivi naanzaje binamu yangu ninavyokupenda uwe na furaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom