shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kuna mtu alisema wewe zipo 30hahaha unachomoka vipi shemela
sijui kweliKuna mtu alisema wewe zipo 30hahaha unachomoka vipi shemela
sijui kweli...first of all ticha: Hajawahi kusema hanitaki
seondly: uko singoland na mimi niko singoland kwa hiyo ninakulike nawe unanilike yaani tunalikeana. Tunaweza kusaidiana kumaliza hiki kiroba ulichonacho na nilichonacho hadi pale tutakapopata mwelekeo sahihi

hapana aisee hizo zote za nini mimi na nguo zangu ninazovaa daah siwezi jamaanKuna mtu alisema wewe zipo 30![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sijui kweli
WoyoyooooooooooooSidhani kama nitachoka kusema asante kwa maua haya mazuri. Nikisema nikuhug amini sitataka zaidi ya hapo, kwa sasa
Mimi sina fitinaFitina zenu
Bora leo umefunguka
Yalaah..ya nini kunyoosha mkono wakti kunawengine wanyoosha miguu chini kuunga mkono hatua ya beibe husna muba

hapana aisee hizo zote za nini mimi na nguo zangu ninazovaa daah siwezi jamaan

...ha hahahah, nilifungwa kweli. Nadhani nilifungwa na mapepo
maombi ya mama mchuchu yamefanya kazi
Sidhani kama nitachoka kusema asante kwa maua haya mazuri. Nikisema nikuhug amini sitataka zaidi ya hapo, kwa sasa

Washangaa nini
we mtu mzima ujue![]()
![]()
![]()
kwaiyo ndo kwisha habar yangu
Baba D umeona ulivyoongea
mtuhumiwa wa nini mke mwee
Binamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tuFitina zenu
hapana aisee hizo zote za nini mimi na nguo zangu ninazovaa daah siwezi jamaan

kuhusu mama mchuchu wananisingizia jana simu yangu kutwa nzima alikua nayo Baba D kwahiyo kama kuna vitu vimesemwa ni Baba D ndio kaaandika binamu sio mimi hivi naanzaje binamu yangu ninavyokupenda uwe na furaha...anamaanisha wewe ndiye uliyechagiza BH akaacha kuja kuniona pale nilipoumwa jana. Amesahau wewe ni mtuhumiwa namba mbili ambaye tumeshasameheana maana mara zote una nia njema nami na hilo ndo muhimu kwangu