Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?

Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Tulia mtaasisi tatizo hukutaka kunielewa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Tulia mtaasisi tatizo hukutaka kunielewa


Mtaasisi, nilitingwa ile mada yetu vipi uiandalie siku kabisa ili at least tuwe japo na saa moja au 45 minutes za kuijadili na inakuwa ni kama segement lets say baada ya magazeti na Historia.

Ili jioni unakuwa ni muda wa kusogoa na ishu za hapa na pale
 
Back
Top Bottom