Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu hivi me naanzaje kukufitini pamoja na yote haunipendi lakini me nakupenda tu binamu yangu namshkuru Mungu me mzima hofu kwako nataka kuja kukuona binamu


Unajua siwezi kukuchukia aunt yangu maana ndo mnaniwekaga hapa mjini. Hata kwa hizi fitna za jana, nimeshasahau maana sina nguvu ya kulia kwa BH kuahirishishwa safari.
Usije, leo siko mjini, nimetekwa
 
Unajua siwezi kukuchukia aunt yangu maana ndo mnaniwekaga hapa mjini. Hata kwa hizi fitna za jana, nimeshasahau maana sina nguvu ya kulia kwa BH kuahirishishwa safari.
Usije, leo siko mjini, nimetekwa
aiseee khaaa nimecheka kwa nguvu sawa binamu me nilitaka nije nikuone tutoke mara moja nikununulie safari lager zako basi
 
Pole sana mtaasisi


Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?

Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
 
Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?

Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
aiseee shem nyagei huyu hashindwi kukuharibia na kuhusu linamo umejuaje kumbe unasomaga kimya kimya binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom