Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Binamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tu

Binamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tu

we mtu mzima ujue
na yeye atakua amekumiss sanaMama mchuchu nime-miss![]()
![]()
Umeanza! Umbea waachie akina Mama D...Shimba nimekutana nae sehemu
Ukiona manyoa ujue kaliwa![]()
![]()
![]()
kwaiyo ndo kwisha habar yangu
kweli shemela ujue
Umeona ehee![]()
![]()
![]()
maombi ya mama mchuchu yamefanya kazi
Hakikana yeye atakua amekumiss sana
pole ndio ukubwa huo acha maisha mengine yaendelee ukiona hutakiwi jiongeze sio kulia liaNalijua ila loho inauma
Ulituunganisha wewe
Hatimaye leo naachwa peke tangu kwenye road right...!
SijaonaaaaaBaba D umeona ulivyoongea
Baba D ujue hayo makiss ni kila sehemu ya mwili
si nitakuwa mwekundu mimi jamaan 
Nina swaga gani mimi mbali na kujivunia Kolomije kwetu? Mimi hata nitajirike niwe bilionea nitabakia hivi hivi tu. Kama huwa naonekana nina swaga basi mnisamehe na kunivumilia...Sijui atakuja na swaga gani
hahahhaha nimeona shemela mapepo yametokaUmeona ehee
AliniambiaaBinamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tu
shemela ukujee
Simu nilikuwa nayo usiku tuu na wewe ulimfitiniii mchanakuhusu mama mchuchu wananisingizia jana simu yangu kutwa nzima alikua nayo Baba D kwahiyo kama kuna vitu vimesemwa ni Baba D ndio kaaandika binamu sio mimi hivi naanzaje binamu yangu ninavyokupenda uwe na furaha