Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
InshalahSasa hebu nitumie ua basi ili ajue kaachika kabisa
InshalahSasa hebu nitumie ua basi ili ajue kaachika kabisa
Nashukuru kunisalimia aunt, asante kunijulia hali pia. Nimepona tangu fitina zako zilipompoteza njia BH akashindwa kufika kunijulia hali. Uendelee hivyo hivyo.
Uko salama lakini?

Mmmmmh!!! HayA hongereni mpendwa..Husna beibe unadhani huwa ni story tu, yaani huwa ni za kweli kabisa zimetokea. Kama huamini unaweza kuunda tume hata ya kina profesa Bhana
kumbe ndio maana BH hakutaki
Shimba nimekutana nae sehemu..tena kazi hii si ndogo. Hapo bado SHIMBA YA BUYENZE hajatoka safarini
Hapana mkuuAu zinakukeraaa??
Ni uchawi ndio chanzo cha kila kituAmepata mwingine yule sio bure
My late sweetie ina maana hutaniwi??Hapana mkuu
Sijui atakuja na swaga gani..tena kazi hii si ndogo. Hapo bado SHIMBA YA BUYENZE hajatoka safarini
Nzuri mkuuWakuu habar za saivi???
MmmmmhMmmmmh!!! HayA hongereni mpendwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kumbe ndio maana BH hakutaki
Duh mwaka huu wangu!!!!Nzuri mkuu
Siamini kabisa, ila mkeo ndio alisema hakutaki kwa sababu ya uchawiNawewe unaamini kweli Mimi mchawi
Mmeanzaa
Umeona ehee
Tumetokaa mbali na bhinamu wanguuuHapana mkuu
AiseeNzuri mkuu