Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
....lakini ata uko kwenye mkesha nilitakiwaa niwe na yule wa mkoa sema bhasi huo mfumanio ulikuwa sijui umepangwa ila mpaka leo naamin kuna mkono wakoo binamu...Ha hahahahah! Usinikumbushe ya Jamila maana ile siku umedanganya unaenda Taifa kwenye mkesha, yaani mchepuko ukamfumania mchepuko. Uliwasuluhisha vizuri sana. Kiukweli unahitajika kuwa kwenye kamati ya miss Tanzania, kama mshauri nasaha
Uliloliwaza kweli ni wazo zuri si miss Tanzania wanashiriki warembo wa kike tu ??