Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahahahah! Usinikumbushe ya Jamila maana ile siku umedanganya unaenda Taifa kwenye mkesha, yaani mchepuko ukamfumania mchepuko. Uliwasuluhisha vizuri sana. Kiukweli unahitajika kuwa kwenye kamati ya miss Tanzania, kama mshauri nasaha
....lakini ata uko kwenye mkesha nilitakiwaa niwe na yule wa mkoa sema bhasi huo mfumanio ulikuwa sijui umepangwa ila mpaka leo naamin kuna mkono wakoo binamu...

Uliloliwaza kweli ni wazo zuri si miss Tanzania wanashiriki warembo wa kike tu ??
 
....lakini ata uko kwenye mkesha nilitakiwaa niwe na yule wa mkoa sema bhasi huo mfumanio ulikuwa sijui umepangwa ila mpaka leo naamin kuna mkono wakoo binamu...

Uliloliwaza kweli ni wazo zuri si miss Tanzania wanashiriki warembo wa kike tu ??


Leo nikiri kabisa bila lakiri, nilitia zengwe maana japo huwa unakataa ulinisemea maneno ya shombo kwa yule fundi shanga 700
 
cb6ca4a156449f6646b0a03e4a7b73a9.jpg
Asante shemeji
 
Leo nikiri kabisa bila lakiri, nilitia zengwe maana japo huwa unakataa ulinisemea maneno ya shombo kwa yule fundi shanga 700
Niliiijuuuuuuaaaa binamu ....alafu ukajifanya hujui chochotee ukaniachaa mataa ukasahau wewe ulivoyakoroga kwa chausiku nilivosotaa kukuwekeaa mambo sawa...

Alafu yule fundi bwana alinikeraa mm ndo wa kwanza kupanda nae daladala ...kukosa kwangu vocha kuomba nimpigie kwa siku yako ukafaidii mazima kwa kujifanya unaiga sauti yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom