Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?

Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
Alinikeraaa sanaa huyu mtaasisi wako ...wabaya wetu wapo wengi
 
seriously, au kuna uzi/thread nyingine inaitwa pm imeanzishwa kupunguza kasi ya Makapuku sisi? Sijui kwanini mimi huwa nakuwa wa mwisho kujua. Kuanzia kesho nakaa siti ya mbele ili nielewe mapema. Backbenchers mtanisamehe nahama
ni opt ya msg hapa jf binamu jamaan ukitaka kuongea na mtu mambo yenu mnaingia inbox unanichosha tu
 
Binamu unanijua mm kwenye ukweli sipindishiii kwa kweli kwa ishu ya Ashura nilitakiwa nifanye hivo ...unajua kwa nn nilifanya hivo make Jamila asingenilinielewaa...

Ao achana nao waendeleze fitina zao ila tutashinda ...babu yangu kama leo umeshinda nae nashukuru make wewe utafikiri ndani kuna miiba ukikaa inakuchoma ...nadra sana

Ubarikiwe kwa hilo (in mama mchungaji voice)
Muendelezo ndio mpaka weekend ijayo?
 
Niliiijuuuuuuaaaa binamu ....alafu ukajifanya hujui chochotee ukaniachaa mataa ukasahau wewe ulivoyakoroga kwa chausiku nilivosotaa kukuwekeaa mambo sawa...

Alafu yule fundi bwana alinikeraa mm ndo wa kwanza kupanda nae daladala ...kukosa kwangu vocha kuomba nimpigie kwa siku yako ukafaidii mazima kwa kujifanya unaiga sauti yangu
story zako na binamu yako zinanichekeshaga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom