Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Swalamaaaaaa mchawi wa sumbawangaWakuu habar za saivi???
Swalamaaaaaa mchawi wa sumbawangaWakuu habar za saivi???
sawa binamu msalimie mtekaji wakoNashukuru kwa kuttaka kuhang out, ila leo haitowezekana. Nimetekwa huku na kwa kweli mtekaji wangu ana roho nzuri, ananipikia supu
Leo usiku saa tano na dakika 29Muendelezo ndio mpaka weekend ijayo?
hivi shanga 700 zinakaje kiunoni binamu acha kutulisha matango pori
AiseeUnajua siwezi kukuchukia aunt yangu maana ndo mnaniwekaga hapa mjini. Hata kwa hizi fitna za jana, nimeshasahau maana sina nguvu ya kulia kwa BH kuahirishishwa safari.
Usije, leo siko mjini, nimetekwa
Utamtoaa j5bana kama hatak basi
Wewe jeepoleni jamaan wasameheni tu
Sasa hapa atasema nimemfitiniii
Bhinamu vipi upo tayar ucancell kule
Au zinakukeraaa??![]()
story zako na binamu yako zinanichekeshaga sana
Yeye anakunywa balimiaiseee khaaa nimecheka kwa nguvu![]()
![]()
sawa binamu me nilitaka nije nikuone tutoke mara moja nikununulie safari lager zako basi
Nilijuaaaaacha nitumie maisha yenyewe mafupi haya
Changu chakeMmmmh!
Naniiiiinani mmemsubili
Aisee duhNenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?
Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
![]()
story zako na binamu yako zinanichekeshaga sana
Salama mr. Kwema huko?Wakuu habar za saivi???
Kiroho safiiiSiwezi kucancel, mateka hana amri ya kucancel
HaaaaahaaaaNacheka kwa nguvu hapa, maana ni kama mwalimu wa nidhamu enzi za sekondari anakuomba msamaha kwa kukuchelewesha darasani
Sema tume iwe na ratio kubwa ya wapendwa..Husna beibe unadhani huwa ni story tu, yaani huwa ni za kweli kabisa zimetokea. Kama huamini unaweza kuunda tume hata ya kina profesa Bhana