Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nashukuru kunisalimia aunt, asante kunijulia hali pia. Nimepona tangu fitina zako zilipompoteza njia BH akashindwa kufika kunijulia hali. Uendelee hivyo hivyo.

Uko salama lakini?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125]
 
Nashukuru kunisalimia aunt, asante kunijulia hali pia. Nimepona tangu fitina zako zilipompoteza njia BH akashindwa kufika kunijulia hali. Uendelee hivyo hivyo.

Uko salama lakini?
Binamu hivi me naanzaje kukufitini pamoja na yote haunipendi lakini me nakupenda tu binamu yangu namshkuru Mungu me mzima hofu kwako nataka kuja kukuona binamu
 
Ha hahahahah! Usinikumbushe ya Jamila maana ile siku umedanganya unaenda Taifa kwenye mkesha, yaani mchepuko ukamfumania mchepuko. Uliwasuluhisha vizuri sana. Kiukweli unahitajika kuwa kwenye kamati ya miss Tanzania, kama mshauri nasaha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] loh!
 
Back
Top Bottom