Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
MmmmmhPole sana Obe, maombi ya mama mchungaji hayo
MmmmmhPole sana Obe, maombi ya mama mchungaji hayo
mzima kaka akee za kwako unaendeleajeDadake mzima?
AiseeOrodha ni ndefu my sweetflower yaani inaanzia kwa aunt yangu, majirani zake namajirani zangu na hata ambao huwa hatusalimiani.
Huwezi amini hata wewe japo ua hukunitumia (ila wewe haujanifitini)
Maua yanapitia kwanza kwangu mm ndo tbs wa binamu

Sio mbaya cha binamu changuAkAaaa nampaga mpendwa tu
Nashukuru kunisalimia aunt, asante kunijulia hali pia. Nimepona tangu fitina zako zilipompoteza njia BH akashindwa kufika kunijulia hali. Uendelee hivyo hivyo.
Uko salama lakini?

Binamu hivi me naanzaje kukufitini pamoja na yote haunipendi lakini me nakupenda tu binamu yangu namshkuru Mungu me mzima hofu kwako nataka kuja kukuona binamuNashukuru kunisalimia aunt, asante kunijulia hali pia. Nimepona tangu fitina zako zilipompoteza njia BH akashindwa kufika kunijulia hali. Uendelee hivyo hivyo.
Uko salama lakini?
amefanyaje tenaIla binadamu bwanaaa
hivi huyu wa shanga 700 binamu bado unaeLeo nikiri kabisa bila lakiri, nilitia zengwe maana japo huwa unakataa ulinisemea maneno ya shombo kwa yule fundi shanga 700
Leo nalala kwake make nimeshinda na Devy kutwa nzimaBinamu hivi me naanzaje kukufitini pamoja na yote haunipendi lakini me nakupenda tu binamu yangu namshkuru Mungu me mzima hofu kwako nataka kuja kukuona binamu
Miss wewe zaidihalaf nimekumiss miss ujue
vipi shemela wanguAisee![]()
![]()
![]()
![]()
Ha hahahahah! Usinikumbushe ya Jamila maana ile siku umedanganya unaenda Taifa kwenye mkesha, yaani mchepuko ukamfumania mchepuko. Uliwasuluhisha vizuri sana. Kiukweli unahitajika kuwa kwenye kamati ya miss Tanzania, kama mshauri nasaha
loh!Ndiyo hivyo, kuna wakati tochi nyingi, wakati mwingine barabara ya vumbi safari itafika tuBaba D asante kwa story ila ya leo mmh
ebu ukuje pm kidogo tu dadaMiss wewe zaidi
we lala tu me nataka kuonana nae nitakaa nae sehemuLeo nalala kwake make nimeshinda na Devy kutwa nzima