Makapuku Forum

Makapuku Forum

binamu kinachokuchesha me kuwaombea msamaha au wasamehe tu binamu yangu kosa ni kurudia kosa


Kilichonichekesha ni kuwa yaani unajifanya kabisa kama hukuwa na ushawishi makinika kwa kuahirishwa kwa safari yake kwangu.

anyway, sasa umeshanifunshisha kuhusu pm, nitakuwa namfuata huko huko nasingizia kuumwa aje anitembelee, yaani kitu kimya kimya bila vibration
 
Yes aliniombea, nashukuru sana

Ila kupona kwangu mapema ni kutokana na fitina nilizopigwa pale 'ndugu' zangu waliposikia BH anakuja kunipa pole. Maneno yaliyotolewa hata ungekuwa wewe ungepona tu. Yaani nilisemwa kuzidi makinikia yanavyosemwa wiki hii. Anyway, hakuja na ninaimani waliko huko wamefurahi
Da,hadi hurumaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom